Hebu tuwe wakweli,
Nani aliifahamu PPP kabla ya Kafulila?
PPP ya Kafulila na DP World,
PPP ya Kafulila na Adan Gate 2
PPP ya Kafulila na Kariakoo complex kubwa kuliko Mlimanii City,
PPP ya Kafulila na Jengo kubwa kuliko yote la Ubungo Stendi ya Zamani Complex
PPP ya Kafulila na Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo,
PPP ya Kafulila na Ujenzi wa barabara kutoka Tanga hadi Singida km 340.
PPP ya Kafulila na Toll Roads Dar mpaka Dodoma,
Wewe unasemaje Kafulila matendo ni sifuri?
Lini PPP ilijadiliwa kama Sasa kwa Kafulila?