Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kafulila hana akili timamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mpumbavu.Kafulila hana akili timamu
Hakuna mtu mwenye muda wa kubishana on what is obvious, kisa kichwa chako kimeamua kujiaminisha ujinga.Kwanini ni Google wakati akili ipo
Tena snNi mpumbavu.
Anakuwaje mpumbafu ila wewe ukawa timamu?Kafulila hana akili timamu
CHADEMA bado hamjasemaAkapimwe Afya ya Akili
Bado hamjasema huu mwaka 😂😂Tena sn
Ongeza umakini Mimi siandiki kujifurahisha hapaHakuna mtu mwenye muda wa kubishana on what is obvious, kisa kichwa chako kimeamua kujiaminisha ujinga.
This post is usefulness of my time
Mm CCM ila jamaa kazidi taarabuCHADEMA bado hamjasema
Labda ni baba yako na kama ni baba yako basi ukoo wenu ni hasara.Anakuwaje mpumbafu ila wewe ukawa timamu?
CHADEMA bado hawajasemaCHADEMA hebu jibuni hoja za Kafulila acheni visingizio na kutengeneza Nyuzi za kujifichaficha.
Kafulila anahoja tena hoja nzito nzito sana wenye akili tunaona.
Nadhani ndio maana hana mpinzani hata hapa jf kwani yeye anaongea kwa tarakimu.
Hao Wapinzani unaowasema ikiwemo na wewe mnasema mmeamua kumpuuza wakati huo huo ndio ninyi mnaolia lia kuomba Kafulila atulie.
Sasa Kafulila anatuliaje wakati yeye sio CHADEMA ni CCM?
Na anataka mgombea wake ashinde kwa kishindo Uchaguzi Mkuu huu??
Kafulila Lazima aitetee CCM Kwa nguvu na akili zake zote na kwa kufanya hivyo hakosei popote.
Kafulila chapa mwendo.
Huwezi kuelewa dada anguAnakuwaje mpumbafu ila wewe ukawa timamu?
TuliaBado hamjasema huu mwaka 😂😂
Sidhani kama watu wameanza kumdharau.Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.
Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.
Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.
Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
Is it ‘benefit of the doubt’ or ‘benefit of doubt’Ongeza umakini Mimi siandiki kujifurahisha hapa
Hivi hoja zipi unazosema ambazo hakuna wa kuzijibu?Wewe hebu, jitafakari vizuri,
Hoja za Kafulila ni nani mwingine anaweza kuzijibu?
Kafulila wewe sio saizi yako.
Tafuta wa saizi yako Kafulila acha achape kazi.
Sidhani kama watu wameanza kumdharau.
Lakini nina hakika amekuwa akitoa baadhi ya data zisizo na uhalisia.
Pia programu zake za PPP hazijaonyesha tija ya maana.
Kama ingekuwa ni biashara tunaweza kusema haija-break even (haijatoa faida) tangu ianzishwe taasisi hiyo
Wewe hizo data fake kwanini usizipinge kwa data pure?Sidhani kama watu wameanza kumdharau.
Lakini nina hakika amekuwa akitoa baadhi ya data zisizo na uhalisia.
Pia programu zake za PPP hazijaonyesha tija ya maana.
Kama ingekuwa ni biashara tunaweza kusema haija-break even (haijatoa faida) tangu ianzishwe taasisi hiyo.
Hapeleki moto wapi?Kafulila hapeleki moto akili yake haiko sawa