Kafulila watu wameanza kumdharau wamegundua anapitiliza

Kafulila watu wameanza kumdharau wamegundua anapitiliza

Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.

Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.

Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.

Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
Upo sahihi kabisa, Tumbili hana utulivu hajatulia, na hapa jukwaani ana Mamluki kama wote, ana Id zake pia, kila siku thread za Tumbili, yaani hata mods wako nyuma yake, thread za kishamba za kujikomba zinaachwa kila siku, unakuta kwa siku thread 2 za Tumbili🤔🤔🤔🤣🤣
 
Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.

Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.

Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.

Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
Mr tumbili yupo na sifa kama nduguzo, Tumbili wana vituko sana aisee
 
Upo sahihi kabisa, Tumbili hana utulivu hajatulia, na hapa jukwaani ana Mamluki kama wote, ana Id zake pia, kila siku thread za Tumbili, yaani hata mods wako nyuma yake, thread za kishamba za kujikomba zinaachwa kila siku, unakuta kwa siku thread 2 za Tumbili🤔🤔🤔🤣🤣
Wewe Nini kinakuwasha?
 
Hakuna siku Kafulila kazungumza bila namba tangu lini namba ilidanganya?
Na unapomjibu lazima uzingatie kabisa Kuna Sheria ya takwimu nadhani shida ndio inaanzia hapa namna ya kumjibu,

..kafulila yuko vizuri kwenye kukumbuka takwimu, lakini ana uwezo mdogo wa kutafsiri takwimu anazozinukuu.
 
Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.

Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.

Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.

Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
MMlichelewa sana kujua kwamba huyu chawa ni janga kubwa katika Taifa hili.

Humu ana ID kama nne ambazo zote anajizungumzia yeye na kujipemdekeza kuliko pitiliza. Lakini kimsingi ni bwana mweupe kama walivyo weuoe wenzake!

Hilo jina KAFULILA ninapoliona kwenye hizo mada zake huwa sihangaiki hata kuzifungua.
 
Hakuna siku Kafulila kazungumza bila namba tangu lini namba ilidanganya?
Na unapomjibu lazima uzingatie kabisa Kuna Sheria ya takwimu nadhani shida ndio inaanzia hapa namna ya kumjibu,
Wewe ni KAFULILA. Hebu tuliza kalio watu wakujadili. IDs umekuwa nazo nyingi mno
 
MMlichelewa sana kujua kwamba huyu chawa ni janga kubwa katika Taifa hili.

Humu ana ID kama nne ambazo zote anajizungumzia yeye na kujipemdekeza kuliko pitiliza. Lakini kimsingi ni bwana mweupe kama walivyo weuoe wenzake!

Hilo jina KAFULILA ninapoliona kwenye hizo mada zake huwa sihangaiki hata kuzifungua.
Kafulila ni janga kwa CHADEMA sio Taifa hapa umepitiwa.
Shida yenu jamaa asitoe utetezi kwa Samia ili mpate mpenyo wa.kumpiga spana mgombea wetu.
Nashauri Kafulila spana ziendelee CHADEMA bado hawajasema.
 
Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.

Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.

Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.

Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
Atulie kwa maana kizuri chajiuza bali * kibaya hujitembeza " , Akili mu kichwa !
 
Kwanza ana uelewa mdogo sana wa mambo anayoyaongelea, sema kalipa watu wengi sana ku-promote ujinga anao-ongea.

99% ya recurring topics za ujinga wake wa JF ni ujinga mtupu ni maswala ambayo uelewa wake mdogo; my god huyo ndio mtu wa ku-discuss serious issues na wawekezaji.

Kwenye kichwa he is actually convinced he knows it.
stupidity,

Yaani wewe unaweza kujilinganisha na Kafulila kwenye lini?

Record za Kafulila ziko everywhere wewe zako ni zipi?

Ninachokiona wewe unashida binafsi na Kafulila maana unahangaika sana kupotasha juu ya Kafulila.

Uwezo wa ku-negotiate na Wawekezaji unaousema ni WA lugha au content maana hueleweki.

Mtu makini kama Kafulila wewe unasema hawezi negotiations na Wawekezaji hapa napata shida nyingine ya kukutambua wewe mwenyewe academically
 
Back
Top Bottom