CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
You can't stop him, Jamaa anajua sana na huo ndio Ukweli tulie tucheke.Mbona hili tuliliona siku nyingi.
Maneno mingi huyu tumbili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You can't stop him, Jamaa anajua sana na huo ndio Ukweli tulie tucheke.Mbona hili tuliliona siku nyingi.
Maneno mingi huyu tumbili.
Kwani kuna yeyote alikuwa akimuamini au kumpa uzito chawa kafulia? Hata mkewe alimwacha baada ya kugundua hafai kwa loloteHili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.
Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.
Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.
Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wKwanenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
Hii nayo ID yako?Achana na mambo ya IDs njoo ujenge hoja tukuelewe.
Anawezaje kukumbuka halafu akashindwa kuzitafsiri?
Hata Wewe unamwamini ndio maana unafuatilia mambo yake,Kwani kuna yeyote alikuwa akimuamini au kumpa uzito chawa kafulia? Hata mkewe alimwacha baada ya kugundua hafai kwa lolote
Wameanza au wanaendelea kumdharau??Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.
Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.
Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.
Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.
Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.
Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.
Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia
Mtu gani kila siku yupo wenye media, anamshinda boss wake. Siku 365 na robo yupo kwenye mediaHili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.
Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.
Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.
Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
WEWE Nini kinakwasha!??Wewe Nini kinakuwasha?
Kafulila is for the fools.CHADEMA BADO HAMJASEMA.
KUMBE YOTE HAYA NI KWA SABABU KAFULILA KAAMUA KUMTETEA MGOMBEA WAKE DKT SAMIA?
Kwanza, mwandishi labda ufafanue ni lini hao Watu unaosema wameanza kumdharau ni lini na wapi walionesha kumuheshimu na leo wanaonesha kuanza kumdharau?
Pili, nataka kufahamu Je, wewe ni Msemaji wa hao watu walioanza kumdharau Kafulila ?
👇👇
Ushauri wangu wa bure kwa CHADEMA hebu jibuni hoja za Kafulila acheni visingizio na kutengeneza Nyuzi|mabandiko ya kujifichaficha ili kumnyemelea Kafulila.
NIONAVYO mimi Kafulila anahoja tena hoja zake ni nzito wenye akili tunaona zijibiwe tena kwa Ushahidi sio kumvizia kama hivi.
Kwa hoja hizi nadhani ndio maana Kafulila hana mpinzani hata hapa jf.
Hao Wapinzani unaowasema ukiwemo na wewe mnasema mmeamua kumpuuza wakati huo huo ndio ninyi mnao lia lia kuomba Kafulila atulie.
Sasa Kafulila anatuliaje wakati yeye Leo sio CHADEMA ni CCM?
Kama ilivyo kwa wanaCCM wengine Kafulila anataka mgombea wake ashinde kwa kishindo Uchaguzi Mkuu huu wa Oct!!
Kafulila Lazima aitetee CCM Kwa nguvu na akili zake zote na kwa kufanya hivyo hakosei popote kwani ndio haswaa takwa la Katiba ya CCM.
Kafulila chapa mwendo.
Waswahili walisema, debe tupu haliachi kutika.You can't stop him, Jamaa anajua sana na huo ndio Ukweli tulie tucheke.
Hizo media anazitafuta au zinamtafuta fanya kwanza researchMtu gani kila siku yupo wenye media, anamshinda boss wake. Siku 365 na robo yupo kwenye media
Kazi za Kafulila kila mtanzania anaziona kabla ya Kafulila hakuna mtu alijua kitu kinaitwa PPPP kwenye hii nchi,Waswahili walisema, debe tupu haliachi kutika.
Mark these words!
Unawezaje kumpuuza mtu anayezumgumza kwa namba kwenye hii Dunia?Kafull
Kafulila is for the fools.
Anaokoteza habari zisizo na uhalisia, anazifanya kuwa ni data. Hakuna mwenye weledi anaweza kupoteza muda wake kufanya arguments na machawa. Hakuna chawa ambaye yulo kwenye utimamu wa akili. Kafulila worth to be ignored.
Kwa hiyo kila Mwana CCM aanze kupayuka payuka kama Kafulila, pamoja na walio humu JF? Sasa kuna haja gani ya kuwa na wasemaji katika sehemu walipowekwa?Hivi wewe unafahamu maana ya Uzalendo?
Uzalendo ni kumtetea Rais na Serikali yake wakati wote.
Kafulila ni Mzalendo wa kweli, huyu jamaa hali Wala hapokei rushwa ila anapiga spana CHADEMA kwa sana.
Labda tu niwasaidie kidogo,
Kazi ya mwanaCCM yoyote ni kuilinda na kuitetea CCM na Serikali yake.
Kafulila ni kiongozi wa mfano kwenye hili na siku Viongozi wote wakifanya kama Kafulila CHADEMA mtaita pooo.
Du... kumbe tunaongea na watoto!Kazi za Kafulila kila mtanzania anaziona kabla ya Kafulila hakuna mtu alijua kitu kinaitwa PPPP kwenye hii nchi,
I stand to be correct
CHADEMA BADO HAMJASEMA.🤣🤣Kwa hiyo kila Mwana CCM aanze kupayuka payuka kama Kafulila, pamoja na walio humu JF? Sasa kuna haja gani ya kuwa na wasemaji katika sehemu walipowekwa?
Whatever the case, hez always available. Hiv leo ana PPP gani?Hizo media anazitafuta au zinamtafuta fanya kwanza research
Mimi sio Chadema, na kudhani mtu anaemsema Kafulila ni Chadema ni kuonyesha uwezo mdogo wa utambuzi au ushabiki wa kiasiasaCHADEMA BADO HAMJASEMA.🤣🤣
Mkurugenzi wa PPP ndio Msemaji wa PPP hapo tatizo liko wapi?
Hivi unajua PPP inazungumzia karibu kila Wizara na Idara?
Jipe muda kuifahamu vema PPP.
LAKINI, Niwapi Kafulila kazungumzia mipango ya CCM au Itifiki za Msemaji wa Serikali?