Kibanga Ampiga Mkoloni JF-Expert Member Joined Aug 9, 2007 Posts 18,772 Reaction score 8,939 Jan 24, 2025 #41 Mbangaizaji wa Taifa said: Tatizo mitaji faza Click to expand... Sio kweli wabongo wanahela wapo ,wanakombilia kujenfa mahotel na k7nunua mabasi wakati uwekezaji kotonfa upo huko kwenye ppp
Mbangaizaji wa Taifa said: Tatizo mitaji faza Click to expand... Sio kweli wabongo wanahela wapo ,wanakombilia kujenfa mahotel na k7nunua mabasi wakati uwekezaji kotonfa upo huko kwenye ppp
M mliberali JF-Expert Member Joined Jul 13, 2012 Posts 12,346 Reaction score 15,249 Jan 24, 2025 #42 Dogo anaongea siasa, je Kuna political will kuwabeba wazawa? Kuna wazawa Wana viwanda vimekufa kisa wanasiada wana ubia na wafanyabiashara waofanya importation
Dogo anaongea siasa, je Kuna political will kuwabeba wazawa? Kuna wazawa Wana viwanda vimekufa kisa wanasiada wana ubia na wafanyabiashara waofanya importation
M mliberali JF-Expert Member Joined Jul 13, 2012 Posts 12,346 Reaction score 15,249 Jan 24, 2025 #43 Dogo kama anaweza aishauri serekali ishushe bei ya umeme hadi TSh 50 kwa 1kwh na petrol luzwe TSh 2000 kwa litre Alafu ndo awashawishi wazawa kuwekeza
Dogo kama anaweza aishauri serekali ishushe bei ya umeme hadi TSh 50 kwa 1kwh na petrol luzwe TSh 2000 kwa litre Alafu ndo awashawishi wazawa kuwekeza