kitanzi kinawasubiri hao,nilazma wanyongwe mpk wafe kama jamaa atakufa,kama akipona watahukumiwa sichini yamiaka 30jela watakoma naujingawao.
Namwombea huyo kaka afariki dunia ili sheria ichukue mkondo wake kwa hao walio mshushia kipigo
Atapata akili pindi huyo mumewe atakapoaga dunia, atajua maisha nini, na kubwa ni kwamba wote wanne ni wazinzi tu.
Maty this is vere vereYaani wapendwa hizo taarifa nilizipata juu juu kwa sababu huyo mkaka namfahamu kwamba amelazwa kapigwa baada ya kufumaniwa na fumanizi lilipangwa na mkewe pamoja na mume anaeibiwa mali zake. Baada ya kuona maswali yenu ndio sasa imebidi nimuulize kuhusu mwanamke mwizi. Ndio amenijibu hiyo stori amepewa juu juu na huyo kaka sasa hvi tumepewa taarifa kwamba amekufa sasa nimeshindwa hata kumdadisi sana kwani ndio kwanza ameletewa taarifa ya msiba nadhani akitulia ndio atanihadithia zaidi.
Jamani hii habari inasikitisha sasa sijui huyo dada atalia kuhusu msiba wa mumewe au atacheka hata sipati picha.
Yaani wapendwa hizo taarifa nilizipata juu juu kwa sababu huyo mkaka namfahamu kwamba amelazwa kapigwa baada ya kufumaniwa na fumanizi lilipangwa na mkewe pamoja na mume anaeibiwa mali zake. Baada ya kuona maswali yenu ndio sasa imebidi nimuulize kuhusu mwanamke mwizi. Ndio amenijibu hiyo stori amepewa juu juu na huyo kaka sasa hvi tumepewa taarifa kwamba amekufa sasa nimeshindwa hata kumdadisi sana kwani ndio kwanza ameletewa taarifa ya msiba nadhani akitulia ndio atanihadithia zaidi.
Jamani hii habari inasikitisha sasa sijui huyo dada atalia kuhusu msiba wa mumewe au atacheka hata sipati picha.
Yaani wapendwa hizo taarifa nilizipata juu juu kwa sababu huyo mkaka namfahamu kwamba amelazwa kapigwa baada ya kufumaniwa na fumanizi lilipangwa na mkewe pamoja na mume anaeibiwa mali zake. Baada ya kuona maswali yenu ndio sasa imebidi nimuulize kuhusu mwanamke mwizi. Ndio amenijibu hiyo stori amepewa juu juu na huyo kaka sasa hvi tumepewa taarifa kwamba amekufa sasa nimeshindwa hata kumdadisi sana kwani ndio kwanza ameletewa taarifa ya msiba nadhani akitulia ndio atanihadithia zaidi.
Jamani hii habari inasikitisha sasa sijui huyo dada atalia kuhusu msiba wa mumewe au atacheka hata sipati picha.
bora wangemwacha kwanza akamue ndio wambutueHapo kwenye red si ajabu hata kuanza walikuwa bado hajaanza game lenyewe
Yaani nyinyi acheni tu huyo kaka amefariki dunia muda si mrefu
agreed, sasa si wangewapiga wote?? kwanini wampige mmoja??Liwe fundisho kwa wala vya watu. Infidelity is like an act of murder(shakespear). Hata hakimu anaweza kutoa msamaha. Mimi nashangaa unakuta mtu anajivinjari tu na mke au mume wa mtu. Huo ndo mshahara. SI muhurumii mtu. I could do the same.
mie nipo kwa huyu mwanamke aliemtwanga mumewe kihivyo? kweli kuna mwanamke ana akili ya kumchangia mume wake na mwanaume mwingine mpaka wamuumize kihivyo?...swali lingine labda Maty atuambie je huyo mwanamke aliefumaniwa alitimua au nae alikuwa anaangalia wrestling inavyoendelea?
Liwe fundisho kwa wala vya watu. Infidelity is like an act of murder(shakespear). Hata hakimu anaweza kutoa msamaha. Mimi nashangaa unakuta mtu anajivinjari tu na mke au mume wa mtu. Huo ndo mshahara. SI muhurumii mtu. I could do the same.
Tujulishe hao walio panga njama wapo wapi kwa sasa?
Maty tell me this is a joke!!!!!!!!!!!Yaani nyinyi acheni tu huyo kaka amefariki dunia muda si mrefu
Ooh Lord!!Huyo mtu mwenyewe anaenipa habari ananiambia juu juu tu kwani amechanganyikiwa kabisa na huu msiba, unajua mwanzoni walikua wanaficha ficha kusema nadhani baada ya huyu kufa ndio itakua habari kamili mi mwenzenu nimechoka kabisa yaani sisi wanawake wapumbavu kabisa.
Sasa ndo uchukue sheria mkononi kumshushia kipigo mpaka afe? Sasa angalia walio mpiga sasa watakiona nao cha moto ni jela sasa nn umepata? Unaenda kuoza mahabusu miaka 6 ndo hukumu itoke na ikisha toka mke wako ndo hivyo huwezi muonja na huyo mwingine mme wake ndo hivyo hatamuona tena. Fikiri kabla ya kutenda
When you are done wit you wife or husband, divorce him or her. Si unachovya chovya. Hii iwe funzo kwa wengine. Respect your marriages. Hata mimi naua walahi nikimjua mwizi wangu though I may not kill my husband but the other woman.