Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Yanga kacheza mpira wa kawaida kabisa Azam wamelegea sanakwa hili pira liliopigwa na yanga kuna timu kesho itaiachia singida iwafunge ili kujinusuru na aibu
Simba anaweza kukwama kwa Singida FG, lakini si kwa timu yoyote kati ya hizi mbili zilizocheza leoKwakeli nashindwa kuelewa hawa Makolo nini kinawasumbua kwani alifeungwa ni Azam halafu wao ndio wanaumia. Tuwasaidiaje?
tunawangojea hao waliomtanguliza azam nao watuonyeshe uregevu waoYanga kacheza mpira wa kawaida kabisa Azam wamelegea sana
Azam wamelegezwa sio wamelegea, umekutana nae mara ngapi na anakulamba kama ice cream? Azam kakutana na kisiki ndio maana unaona kalegea but ungecheza nae wewe ulikuwa unatupwa nje ya michuano leo leoYanga kacheza mpira wa kawaida kabisa Azam wamelegea sana
Uzi umeanzisha mwenyewe halafu unaihusisha Simba hivi gongowazi nani amewaroga?Kwakeli nashindwa kuelewa hawa Makolo nini kinawasumbua kwani alifeungwa ni Azam halafu wao ndio wanaumia. Tuwasaidiaje?
Ndio tumeanza hivyo, nyie endeleeni kumuwaza Mayele utadhani kao kwenu!!
Shauri yenu na majungu yenu.
Sisi raha yetu ni kuifunga Utokolokwa hili pira liliopigwa na yanga kuna timu kesho itaiachia singida iwafunge ili kujinusuru na aibu
Kuuza suraTunisia walienda kufanya Nini hawa
Hujui mpira wewe...yanga imepiga ule msako wa sungura porini Azam walibana wakaachia!Yanga kacheza mpira wa kawaida kabisa Azam wamelegea sana
Kwakeli nashindwa kuelewa hawa Makolo nini kinawasumbua kwani alifeungwa ni Azam halafu wao ndio wanaumia. Tuwasaidiaje?
Ndio tumeanza hivyo, nyie endeleeni kumuwaza Mayele utadhani kao kwenu!!
Shauri yenu na majungu yenu.
Jamaa aligua mganga au ndio huo umeneja?Binafsi pamoja na kwamba mpira una MATOKEO MATATU .
Changamoto kubwa ya AZAM NI KUMKOSA JEMEDARI SAID KAZUMARI MTIPA KAMA MANAGER WA TIMU.
AZAM ATAENDELEA KUPOTEZA MNO.
Msimpe Azam kabisa kwa yanga.
Msikwame tafadhaliSimba anaweza kukwama kwa Singida FG, lakini si kwa timu yoyote kati ya hizi mbili zilizocheza leo
sisi raha yetu ni kuchukua makombeSisi raha yetu ni kuifunga Utokolo