Kagame aitaka SADC ikae mbali na DRC

Kagame aitaka SADC ikae mbali na DRC

Najuwa, na usikute anayepinga ni mwanajeshi wa jeshi la Rwanda kakasirika siri yao kugundulika. Hakuna mtu asiyejuwa hili, Rwanda ipo pale Congo kuiba rasilimali na kujenga nchi yao na ndiyo maana wana destabilize Eastern RDC.
Clearly clueless about what is happening in Congo, pole
 
kamsikilize kikwete kaelezea vzr sana, Rwanda wanefanikiwa kueneza Propaganda since wanatumia lugha zote tunazotumia sisi ila wengi tumeshindwa pata ukwel kutoka DRC , walifikia makubaliano ila hao hao waasi ndo waliyakataa makubaliano hayo kisha wakaingia msituni wanajeshi kama 600 hv kisha baadae ikaonekana wakuja wakiwa na nguv zaid , je nguv hii waliitoa wap kama hakuba mkono wa jirani?
Kagame is right, hata SADC chairman amesema same thing kama mnajua kusoma, ukweli ni Congo government inapigana na wananchi wake, EAC hawawezi kuingia huko labda Tanzania wasiojielewa lakini Kenya au Uganda forget about it
 
Mujamaa anaongela kidume sana
ati anongea kama nani?
nawaambia, tuwakatae wote wale wanaodogosha viongozi wetu.
 
Mheshimiwa Kagame ameitaka SADC (yenye wanachama 16 ikiwamo Afrika Kusini) ikae mbali na DRC maana hayawahusu.

**Kagame anaongea Kama Nani? Msemaji wa DRC?

--
FOLLOWING a recent threat of military action against South Africa, the Rwandan government has now angrily responded to the Southern African Development Community (SADC).

This comes after a meeting in Harare on January 31, 2025, where SADC, under the leadership of Zimbabwean President Emmerson Mnangagwa, demanded that the SADC Mission in the Democratic Republic of Congo (SAMIDRC) should not be involved in fighting what they say are Congolese citizens, referring to the M23 militant group.

In a statement released Sunday by their Foreign Affairs ministry, the Rwandan government said that SADC is being aggressive and is assisting the DRC government in their conflict against its own people.

“SADC has deployed an offensive force, SAMIDRC, to support the war of the government of the Democratic Republic of Congo against its own people, the M23 and the members of their community, many of whom have fled as refugees to Rwanda and throughout the region.

“The government of the Democratic Republic of Congo is also intent on attacking Rwanda and its government, as has been repeatedly and publicly said by President Tshisekedi,” part of the statement reads.

“It is clear that SAMIDRC, together with its coalition partners which include the Burundian armed forces, the FDLR and European mercenaries, are at the heart of the conflict.

“They should not be there fighting the citizens of that country and effectively bringing war to Rwanda.”

However, the Rwandan government has said that they welcome the proposed joint summit between the East African Community and SADC, to try and find a lasting solution to the conflict in the DRC.

Rwanda’s statement comes after SADC held an emergency meeting in Harare last Friday. At this meeting, the region, led by Mnangagwa, accused the Rwandan defence forces of killing SADC military forces in the DRC. 13 of these soldiers, from South Africa, were part of SAMIDRC.

“The summit condemned in the strongest terms the attacks on the SAMIDRC troops by the M23 operating in the Eastern DRC, as such actions violated the ceasefire that was brokered through the Luanda Process on the thirtieth of July two thousand and twenty-four and undermine peace and security of the Democratic Republic of Congo and the SADC region,” part of SADC’s communique reads.

SADC also said: “The summit received the latest reports on the unfolding security situation in the Eastern part of the Democratic Republic of Congo and noted with concern the recent attacks by the M23 armed group and Rwanda Defence Forces on the Government Forces of the Democratic Republic of Congo, the SADC Mission in the Democratic Republic of Congo (SAMIDRC), and the civilian population in various areas of North Kivu.”

This statement did not sit well with the Rwanda President Paul Kagame and his government.

SADC has also condemned the M23, which the United Nations has long said is funded by the Rwandan government.

The M23, or March 23rd Movement, emerged as a rebel group in the DRC in 2012. Its roots can be traced back to a previous rebellion, the National Congress for the Defence of the People (CNDP), which was integrated into the Congolese army in 2009 as part of a peace agreement.

However, many CNDP fighters felt that the agreement was not being upheld, particularly regarding issues of integration and their safety.

These grievances led to the mutiny on March 23, 2012, forming what became known as the M23. The group mainly consists of Tutsi Congolese and has been accused of committing human rights abuses.

SOURCE: Rwandan President Paul Kagame tells SADC to stay out of DRC - NewZimbabwe.com

View: https://www.instagram.com/reel/DFvbBtHJuXG/?igsh=MW9zMmtsNnMycngxOA==
 
Who's an idiot here kama si wewe na Kagame, mnaiba cobalt Eastern Congo na kudanganya kuwa mna machimbo ya cobalt kwenu wakati hamna. Tutajie ni mkoa gani huko Rwanda kuna machimbo ya cobalt?
Keep lying to yourself, tribalism and ignorance vinawamaliza wewe na ndugu zako, acheni
 
13 February 2025
Kigali, Rwanda

Kikundi kazi cha Wataalam wa Ulinzi wa EAC kinakutana mjini Kigali


View: https://m.youtube.com/watch?v=iJ2KxD-8Dr0
Wataalamu wa Ulinzi wa EAC wanakutana mjini Kigali ili kutengeneza ramani ya barabara ya kuanzisha hazina mtandaoni (online repository). Wale waliosusa kutoka Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo watapelekewa maazimio tunayokubaliana Kigali 13 February 2025.

Kikundi kazi cha Wataalam wa Ulinzi wa EAC kinakutana mjini Kigali ili kuandaa ramani ya kuanzisha hifadhi ya mtandaoni ya hati zote zinazotumiwa katika mikutano na mazoezi.

Mkutano huu wa Kigali February 2025 ufuatia ule wa Jinja Uganda 2022:


ZOEZI LA MAFUNZO UWANJANI WA EAC "USHIRIKIANO IMARA" KUANZA NCHINI UGANDA
index.php
index.php
index.php


Jinja, 3 Juni 2022
Vikosi vya Wanajeshi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, polisi na maafisa wa kiraia kutoka nchi 6 ambazo ni Rwanda, Burundi, Kenya, Sudan Kusini, Tanzania na Uganda leo wameanza Mazoezi ya 12 ya Majeshi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyopewa jina la "Ushirikiano Imara" 2022 katika Kituo cha Uwezo wa Usambazaji Haraka cha Uganda, Jinja, Uganda.
Zoezi hilo la muda wa wiki mbili litatekelezwa chini ya kaulimbiu, "Kukuza Amani, Usalama na Utulivu kuelekea Mtangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki."
Wakati akifungua zoezi hilo, Naibu Waziri Mkuu wa tatu wa Uganda, RH Rukia Nakadama alisema kuwa zoezi hilo linazipa nchi washirika wa EAC fursa ya kuimarisha ushirikiano kati ya majeshi pamoja na kuunganisha ajenda ya mtangamano wa Afrika Mashariki.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki Prof Gaspard Banyankimbona ambaye alizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu wa EAC alisema kuwa zoezi hilo limeundwa kwa ajili ya kuwafanyia mazoezi washiriki katika kupanga na kuendesha operesheni shirikishi za usaidizi wa amani, kukabiliana na ugaidi, operesheni za kukabiliana na uharamia na udhibiti wa maafa kwa madhumuni ya kuongeza uwezo wa majeshi ya nchi washirika katika kukabiliana na changamoto za kiusalama.
Rwanda iliwakilishwa katika sherehe hizo na Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Rwanda, Lt Jenerali Mubarakh Muganga.
index.php

index.php

index.php

index.php
 
Please jibu swall, ni mkoa gani Rwanda unachimba cobalt? Tribalism na ignorance ipo Rwanda tena sana tu.
No idea about cobalt so no answer from me, ni kweli Rwanda kulikuwa na tribalism and ignorance na ndio sababu ilitokea genocide lakini wameanza kubadilika, sasa wenzako na dereva wao wa Uber from Brussels ndio wanachochea moto, Tshesekedi must go na Banyamurenge haki na usalama wao must be secured forever
 
No idea about cobalt so no answer from me, ni kweli Rwanda kulikuwa na tribalism and ignorance na ndio sababu ilitokea genocide lakini wameanza kubadilika, sasa wenzako na dereva wao wa Uber from Brussels ndio wanachochea moto, Tshesekedi must go na Banyamurenge haki na usalama wao must be secured forever
Ignorance na tribalism hasn't stopped in Rwanda bado vip sana tu ila kwa chini chini kwani wananchi walishakatazwa kuzungumzia ukabila ila bado wanabaguana sana.
 
Ignorance na tribalism hasn't stopped in Rwanda bado vip sana tu ila kwa chini chini kwani wananchi walishakatazwa kuzungumzia ukabila ila bado wanabaguana sana.
Kuzuia na kuufanya ukabila kosa kisheria ni hatua nzuri sana
 
It worked after NAZI Germany 🇩🇪 and institutionalized racism in US
Probably it worked in Germany but in the US there's still racism. Kingine usifananishe Rwanda na hizo nchi kwani kilichotokea Rwanda si rahisi mtu kusahau just like that. Inawezekanaje mtu kumsamhe jirani yako aliyechinja ukoo wako wote na unamuona kila siku anapita mtaani huku akiwa na furaha? Ukabila will never end in Rwanda, people will always revenge, sema tu kwa sasa wako in remission because ya utawala wa kimabavu toka ka Kagame. It happened in 1959, 1972 and in 1994. It's just a matter of time before vita nyingine ya kindugu inakuja, civil war has a tendency of repeating kwani walioshindwa hawakubali matokeo.
 
Back
Top Bottom