Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Kiswahili, not Swahili mxieeew!Je, kwanini wengi wenu humu hamjui kuandika swahili kwa usahihi kwenye thread title zenu?
Blaise Compaore, ambaye naye majuzi alipinduliwa kwa Nguvu ya Umma!Duh! Simpendi kagame ila kwa hili mtakuwa mnamuonea, sankara aliuliwa na rafiki yake wa tokea utotoni kwa tamaa ya madaraka
Wanawapenda wa nyarwanda Kwa kitu gani ?? Kwa kuuwana ?Burkina Faso na Rwanda wapi wapi wakati hata Kijiografia tu ziko mbali mno. Siku zingine hakikisheni mnapokuja Kuanzisha Mada hapa basi Vichwani mwenu ama Gongo au Bangi mlizotumia ziwe hazijawazidi Kipimo. Kuna Watu wengine huwa mnajidhalilisha na kuonyesha waziwazi jinsi mlivyo Watupu Vichwani.
Kwa kukusaidia tu hasa kwa nchi za Afrika zetu hizi Mipango mingi ya Kimapinduzi hufanywa na Watu ama walio ndani au walio nje ya nchi husika ila iliyo na ukaribu wa Kijiografia lakini ni ngumu leo hii Rais au Mwana Mapinduzi wa Botswana akasababisha Machafuko / Mapigano nchini Chad.
Vitu vingine wala havihitaji Akili Kubwa kuvijua ila najua dhamira yako Kuu hapa ni Kumdhalilisha na Kuzidi Kuonyesha na Kuwaaminisha Wana JamiiForums kuwa Rais wa Rwanda Paul Kagame ni Mtu mbaya sana wakati hata hapa nchini Kwako una Watu / Viongozi pengine wabaya na makatili kuliko huyo Kagame. Na najua wapo Watu watakuamini kwa haya Madai yako japo najua baadhi wenye Akili timamu na zilizotukuka watakupuuza tu.
Sijui ni Mtanzania gani aliyewapeni Sumu hii Kali Watanzania ya Kumchukia hivi Rais wa Rwanda Paul Kagame na Wanyarwanda wote hasa hasa wa Kabila la Watutsi ( Tutsi ) wakati hakuna nchi na Watu wanaowapenda Watanzania na Kuwaheshimu kama Rwanda na Wanyarwanda. Na leo niwahakikishieni tu kuwa Rais Paul Kagame hayuko hivyo kama ambavyo Watanzania wengi ( siyo Wote ) mmelishwa ' Propaganda ' mbaya dhidi yake ambayo mmeiendeleza hadi kwa Wanyarwanda wenyewe. Watanzania mnapendwa na kuheshimiwa sana na Wanyarwanda kuliko ambavyo mnajua.
Nchi nyingi za Afrika Magharibi ni wenyewe kwa wenyewe tu walimalizana,huyu anaenda kwa wakoloni analalamika hivi wanamuuliza tukusaidieje?anajibu inabidi nimtoe madarakani nikishika mimi nchi itakwenda sawa,atapewa support yoote kuanzia mitutu,pesa na kila kitu.akiingia nayy anatokea mwingine kuloloma nae inakua yale yalee,kumbuka kina Samwel Doe,Samora Machel,Gbagbo,Mugabe,et al.Burkina Faso na Rwanda wapi wapi wakati hata Kijiografia tu ziko mbali mno. Siku zingine hakikisheni mnapokuja Kuanzisha Mada hapa basi Vichwani mwenu ama Gongo au Bangi mlizotumia ziwe hazijawazidi Kipimo. Kuna Watu wengine huwa mnajidhalilisha na kuonyesha waziwazi jinsi mlivyo Watupu Vichwani.
Kwa kukusaidia tu hasa kwa nchi za Afrika zetu hizi Mipango mingi ya Kimapinduzi hufanywa na Watu ama walio ndani au walio nje ya nchi husika ila iliyo na ukaribu wa Kijiografia lakini ni ngumu leo hii Rais au Mwana Mapinduzi wa Botswana akasababisha Machafuko / Mapigano nchini Chad.
Vitu vingine wala havihitaji Akili Kubwa kuvijua ila najua dhamira yako Kuu hapa ni Kumdhalilisha na Kuzidi Kuonyesha na Kuwaaminisha Wana JamiiForums kuwa Rais wa Rwanda Paul Kagame ni Mtu mbaya sana wakati hata hapa nchini Kwako una Watu / Viongozi pengine wabaya na makatili kuliko huyo Kagame. Na najua wapo Watu watakuamini kwa haya Madai yako japo najua baadhi wenye Akili timamu na zilizotukuka watakupuuza tu.
Sijui ni Mtanzania gani aliyewapeni Sumu hii Kali Watanzania ya Kumchukia hivi Rais wa Rwanda Paul Kagame na Wanyarwanda wote hasa hasa wa Kabila la Watutsi ( Tutsi ) wakati hakuna nchi na Watu wanaowapenda Watanzania na Kuwaheshimu kama Rwanda na Wanyarwanda. Na leo niwahakikishieni tu kuwa Rais Paul Kagame hayuko hivyo kama ambavyo Watanzania wengi ( siyo Wote ) mmelishwa ' Propaganda ' mbaya dhidi yake ambayo mmeiendeleza hadi kwa Wanyarwanda wenyewe. Watanzania mnapendwa na kuheshimiwa sana na Wanyarwanda kuliko ambavyo mnajua.
Ni ukweli wana upendo sana na sisi,hata waganda na warundi,Wakenya pia kimya kimya.
hii issue ya sankara na Kagame haipo ni hadithi tu.
Hili mimi nililigundua mapema sana uzuri wangu huwa najitahidi kufuatilia mambo kidogo hasa haya ya kisiasa huwa sifuati upepo.Ni Kweli kabisa Mkuu na Mimi nimeanza Kuligundua hilo Siku hizi za karibuni tu.
Cc killanga1Burkina Faso na Rwanda wapi wapi wakati hata Kijiografia tu ziko mbali mno. Siku zingine hakikisheni mnapokuja Kuanzisha Mada hapa basi Vichwani mwenu ama Gongo au Bangi mlizotumia ziwe hazijawazidi Kipimo. Kuna Watu wengine huwa mnajidhalilisha na kuonyesha waziwazi jinsi mlivyo Watupu Vichwani.
Kwa kukusaidia tu hasa kwa nchi za Afrika zetu hizi Mipango mingi ya Kimapinduzi hufanywa na Watu ama walio ndani au walio nje ya nchi husika ila iliyo na ukaribu wa Kijiografia lakini ni ngumu leo hii Rais au Mwana Mapinduzi wa Botswana akasababisha Machafuko / Mapigano nchini Chad.
Vitu vingine wala havihitaji Akili Kubwa kuvijua ila najua dhamira yako Kuu hapa ni Kumdhalilisha na Kuzidi Kuonyesha na Kuwaaminisha Wana JamiiForums kuwa Rais wa Rwanda Paul Kagame ni Mtu mbaya sana wakati hata hapa nchini Kwako una Watu / Viongozi pengine wabaya na makatili kuliko huyo Kagame. Na najua wapo Watu watakuamini kwa haya Madai yako japo najua baadhi wenye Akili timamu na zilizotukuka watakupuuza tu.
Sijui ni Mtanzania gani aliyewapeni Sumu hii Kali Watanzania ya Kumchukia hivi Rais wa Rwanda Paul Kagame na Wanyarwanda wote hasa hasa wa Kabila la Watutsi ( Tutsi ) wakati hakuna nchi na Watu wanaowapenda Watanzania na Kuwaheshimu kama Rwanda na Wanyarwanda. Na leo niwahakikishieni tu kuwa Rais Paul Kagame hayuko hivyo kama ambavyo Watanzania wengi ( siyo Wote ) mmelishwa ' Propaganda ' mbaya dhidi yake ambayo mmeiendeleza hadi kwa Wanyarwanda wenyewe. Watanzania mnapendwa na kuheshimiwa sana na Wanyarwanda kuliko ambavyo mnajua.
Kiswahili, not Swahili mxieeew!
Cc killanga1
Kiswahili ni kipana sana, anaposema "Kagame alikua na mkono kwenye mauaji ya Sankara" maana yake alihusika au alishiriki katika mauaji kwa namna moja au nyingine .
aaLitumie Kusafishia Chumba chako hicho Kichafu Mkuu.
Duh! Simpendi kagame ila kwa hili mtakuwa mnamuonea, sankara aliuliwa na rafiki yake wa tokea utotoni kwa tamaa ya madaraka
Kuna mantiki labda kwa unachokisema,lakini hoja yako ni dhaifu"geographical factor" kuwa ndo genuine reason ya kupinga ama kukubali hoja ya mtoa hoja.tafakariBurkina Faso na Rwanda wapi wapi wakati hata Kijiografia tu ziko mbali mno. Siku zingine hakikisheni mnapokuja Kuanzisha Mada hapa basi Vichwani mwenu ama Gongo au Bangi mlizotumia ziwe hazijawazidi Kipimo. Kuna Watu wengine huwa mnajidhalilisha na kuonyesha waziwazi jinsi mlivyo Watupu Vichwani.
Kwa kukusaidia tu hasa kwa nchi za Afrika zetu hizi Mipango mingi ya Kimapinduzi hufanywa na Watu ama walio ndani au walio nje ya nchi husika ila iliyo na ukaribu wa Kijiografia lakini ni ngumu leo hii Rais au Mwana Mapinduzi wa Botswana akasababisha Machafuko / Mapigano nchini Chad.
Vitu vingine wala havihitaji Akili Kubwa kuvijua ila najua dhamira yako Kuu hapa ni Kumdhalilisha na Kuzidi Kuonyesha na Kuwaaminisha Wana JamiiForums kuwa Rais wa Rwanda Paul Kagame ni Mtu mbaya sana wakati hata hapa nchini Kwako una Watu / Viongozi pengine wabaya na makatili kuliko huyo Kagame. Na najua wapo Watu watakuamini kwa haya Madai yako japo najua baadhi wenye Akili timamu na zilizotukuka watakupuuza tu.
Sijui ni Mtanzania gani aliyewapeni Sumu hii Kali Watanzania ya Kumchukia hivi Rais wa Rwanda Paul Kagame na Wanyarwanda wote hasa hasa wa Kabila la Watutsi ( Tutsi ) wakati hakuna nchi na Watu wanaowapenda Watanzania na Kuwaheshimu kama Rwanda na Wanyarwanda. Na leo niwahakikishieni tu kuwa Rais Paul Kagame hayuko hivyo kama ambavyo Watanzania wengi ( siyo Wote ) mmelishwa ' Propaganda ' mbaya dhidi yake ambayo mmeiendeleza hadi kwa Wanyarwanda wenyewe. Watanzania mnapendwa na kuheshimiwa sana na Wanyarwanda kuliko ambavyo mnajua.
Swali zuri sana. Kipindi hicho Kagame alikuwa anasoma secondary school Kabale nchi ni Uganda. Wakati huo maskini hata hajui SMG Ina uzito gani ikiwa loaded with full magazine.Kagame alikuwa na umri gani wakati huo anauwawa Thomas Sankara? Huenda alikuwa mwanafunzi tu ya angewezaje kuhusika na mauaji ya Sankara ili apate nini? Kagame alikuwa nani wakati huo?
Kagame kipindi hicho alihusika directly kwani ndo alikua kijana mdogo mdogo hivi na alikua akiishi uganda na alikua akifanya mishe kama hizo maana alikua ashakua nyamera...itakua wewe sio mfatiliaji wa mambo kwahiyo unataka kusema nilikurupuka?Burkina Faso na Rwanda wapi wapi wakati hata Kijiografia tu ziko mbali mno. Siku zingine hakikisheni mnapokuja Kuanzisha Mada hapa basi Vichwani mwenu ama Gongo au Bangi mlizotumia ziwe hazijawazidi Kipimo. Kuna Watu wengine huwa mnajidhalilisha na kuonyesha waziwazi jinsi mlivyo Watupu Vichwani.
Kwa kukusaidia tu hasa kwa nchi za Afrika zetu hizi Mipango mingi ya Kimapinduzi hufanywa na Watu ama walio ndani au walio nje ya nchi husika ila iliyo na ukaribu wa Kijiografia lakini ni ngumu leo hii Rais au Mwana Mapinduzi wa Botswana akasababisha Machafuko / Mapigano nchini Chad.
Vitu vingine wala havihitaji Akili Kubwa kuvijua ila najua dhamira yako Kuu hapa ni Kumdhalilisha na Kuzidi Kuonyesha na Kuwaaminisha Wana JamiiForums kuwa Rais wa Rwanda Paul Kagame ni Mtu mbaya sana wakati hata hapa nchini Kwako una Watu / Viongozi pengine wabaya na makatili kuliko huyo Kagame. Na najua wapo Watu watakuamini kwa haya Madai yako japo najua baadhi wenye Akili timamu na zilizotukuka watakupuuza tu.
Sijui ni Mtanzania gani aliyewapeni Sumu hii Kali Watanzania ya Kumchukia hivi Rais wa Rwanda Paul Kagame na Wanyarwanda wote hasa hasa wa Kabila la Watutsi ( Tutsi ) wakati hakuna nchi na Watu wanaowapenda Watanzania na Kuwaheshimu kama Rwanda na Wanyarwanda. Na leo niwahakikishieni tu kuwa Rais Paul Kagame hayuko hivyo kama ambavyo Watanzania wengi ( siyo Wote ) mmelishwa ' Propaganda ' mbaya dhidi yake ambayo mmeiendeleza hadi kwa Wanyarwanda wenyewe. Watanzania mnapendwa na kuheshimiwa sana na Wanyarwanda kuliko ambavyo mnajua.