Kagame alikua na mkono kwenye mauaji ya Thomas Sankara?

Kagame alikua na mkono kwenye mauaji ya Thomas Sankara?

Burkina Faso na Rwanda wapi wapi wakati hata Kijiografia tu ziko mbali mno. Siku zingine hakikisheni mnapokuja Kuanzisha Mada hapa basi Vichwani mwenu ama Gongo au Bangi mlizotumia ziwe hazijawazidi Kipimo. Kuna Watu wengine huwa mnajidhalilisha na kuonyesha waziwazi jinsi mlivyo Watupu Vichwani.

Kwa kukusaidia tu hasa kwa nchi za Afrika zetu hizi Mipango mingi ya Kimapinduzi hufanywa na Watu ama walio ndani au walio nje ya nchi husika ila iliyo na ukaribu wa Kijiografia lakini ni ngumu leo hii Rais au Mwana Mapinduzi wa Botswana akasababisha Machafuko / Mapigano nchini Chad.

Vitu vingine wala havihitaji Akili Kubwa kuvijua ila najua dhamira yako Kuu hapa ni Kumdhalilisha na Kuzidi Kuonyesha na Kuwaaminisha Wana JamiiForums kuwa Rais wa Rwanda Paul Kagame ni Mtu mbaya sana wakati hata hapa nchini Kwako una Watu / Viongozi pengine wabaya na makatili kuliko huyo Kagame. Na najua wapo Watu watakuamini kwa haya Madai yako japo najua baadhi wenye Akili timamu na zilizotukuka watakupuuza tu.

Sijui ni Mtanzania gani aliyewapeni Sumu hii Kali Watanzania ya Kumchukia hivi Rais wa Rwanda Paul Kagame na Wanyarwanda wote hasa hasa wa Kabila la Watutsi ( Tutsi ) wakati hakuna nchi na Watu wanaowapenda Watanzania na Kuwaheshimu kama Rwanda na Wanyarwanda. Na leo niwahakikishieni tu kuwa Rais Paul Kagame hayuko hivyo kama ambavyo Watanzania wengi ( siyo Wote ) mmelishwa ' Propaganda ' mbaya dhidi yake ambayo mmeiendeleza hadi kwa Wanyarwanda wenyewe. Watanzania mnapendwa na kuheshimiwa sana na Wanyarwanda kuliko ambavyo mnajua.
Wanawapenda wa nyarwanda Kwa kitu gani ?? Kwa kuuwana ?
 
Burkina Faso na Rwanda wapi wapi wakati hata Kijiografia tu ziko mbali mno. Siku zingine hakikisheni mnapokuja Kuanzisha Mada hapa basi Vichwani mwenu ama Gongo au Bangi mlizotumia ziwe hazijawazidi Kipimo. Kuna Watu wengine huwa mnajidhalilisha na kuonyesha waziwazi jinsi mlivyo Watupu Vichwani.

Kwa kukusaidia tu hasa kwa nchi za Afrika zetu hizi Mipango mingi ya Kimapinduzi hufanywa na Watu ama walio ndani au walio nje ya nchi husika ila iliyo na ukaribu wa Kijiografia lakini ni ngumu leo hii Rais au Mwana Mapinduzi wa Botswana akasababisha Machafuko / Mapigano nchini Chad.

Vitu vingine wala havihitaji Akili Kubwa kuvijua ila najua dhamira yako Kuu hapa ni Kumdhalilisha na Kuzidi Kuonyesha na Kuwaaminisha Wana JamiiForums kuwa Rais wa Rwanda Paul Kagame ni Mtu mbaya sana wakati hata hapa nchini Kwako una Watu / Viongozi pengine wabaya na makatili kuliko huyo Kagame. Na najua wapo Watu watakuamini kwa haya Madai yako japo najua baadhi wenye Akili timamu na zilizotukuka watakupuuza tu.

Sijui ni Mtanzania gani aliyewapeni Sumu hii Kali Watanzania ya Kumchukia hivi Rais wa Rwanda Paul Kagame na Wanyarwanda wote hasa hasa wa Kabila la Watutsi ( Tutsi ) wakati hakuna nchi na Watu wanaowapenda Watanzania na Kuwaheshimu kama Rwanda na Wanyarwanda. Na leo niwahakikishieni tu kuwa Rais Paul Kagame hayuko hivyo kama ambavyo Watanzania wengi ( siyo Wote ) mmelishwa ' Propaganda ' mbaya dhidi yake ambayo mmeiendeleza hadi kwa Wanyarwanda wenyewe. Watanzania mnapendwa na kuheshimiwa sana na Wanyarwanda kuliko ambavyo mnajua.
Ni ukweli wana upendo sana na sisi,hata waganda na warundi,Wakenya pia kimya kimya.
hii issue ya sankara na Kagame haipo ni hadithi tu.
Nchi nyingi za Afrika Magharibi ni wenyewe kwa wenyewe tu walimalizana,huyu anaenda kwa wakoloni analalamika hivi wanamuuliza tukusaidieje?anajibu inabidi nimtoe madarakani nikishika mimi nchi itakwenda sawa,atapewa support yoote kuanzia mitutu,pesa na kila kitu.akiingia nayy anatokea mwingine kuloloma nae inakua yale yalee,kumbuka kina Samwel Doe,Samora Machel,Gbagbo,Mugabe,et al.
Ni tabia zetu tu Waafrika, mtu akiwa na kaduka ka kuuza mchele anakuja ndugu yako unamwajiri afanye biashara akishapata connection na wateja anakuibia kidogo kidogo anaanzisha biashara yake kivyake.
simple ila inatia maudhi sana
 
Ni Kweli kabisa Mkuu na Mimi nimeanza Kuligundua hilo Siku hizi za karibuni tu.
Hili mimi nililigundua mapema sana uzuri wangu huwa najitahidi kufuatilia mambo kidogo hasa haya ya kisiasa huwa sifuati upepo.

Kupindi cha utawala wa Mh. JK kuna watu walimsifu sana raisi wa Rwanda na nchi ya Rwanda kwa maendeleo makubwa anayoyafanya hasa ununuzi wa ndege na wakaishauri serikali yetu ijifunze kutoka Rwanda, eti leo ghafla baada ya Mh. JPM kwenda Rwanda eti Kagame na Rwanda wamekuwa wa baya na, wanasemwa vibaya na wale waliokuwa wanawaimbia pambio.
 
Burkina Faso na Rwanda wapi wapi wakati hata Kijiografia tu ziko mbali mno. Siku zingine hakikisheni mnapokuja Kuanzisha Mada hapa basi Vichwani mwenu ama Gongo au Bangi mlizotumia ziwe hazijawazidi Kipimo. Kuna Watu wengine huwa mnajidhalilisha na kuonyesha waziwazi jinsi mlivyo Watupu Vichwani.

Kwa kukusaidia tu hasa kwa nchi za Afrika zetu hizi Mipango mingi ya Kimapinduzi hufanywa na Watu ama walio ndani au walio nje ya nchi husika ila iliyo na ukaribu wa Kijiografia lakini ni ngumu leo hii Rais au Mwana Mapinduzi wa Botswana akasababisha Machafuko / Mapigano nchini Chad.

Vitu vingine wala havihitaji Akili Kubwa kuvijua ila najua dhamira yako Kuu hapa ni Kumdhalilisha na Kuzidi Kuonyesha na Kuwaaminisha Wana JamiiForums kuwa Rais wa Rwanda Paul Kagame ni Mtu mbaya sana wakati hata hapa nchini Kwako una Watu / Viongozi pengine wabaya na makatili kuliko huyo Kagame. Na najua wapo Watu watakuamini kwa haya Madai yako japo najua baadhi wenye Akili timamu na zilizotukuka watakupuuza tu.

Sijui ni Mtanzania gani aliyewapeni Sumu hii Kali Watanzania ya Kumchukia hivi Rais wa Rwanda Paul Kagame na Wanyarwanda wote hasa hasa wa Kabila la Watutsi ( Tutsi ) wakati hakuna nchi na Watu wanaowapenda Watanzania na Kuwaheshimu kama Rwanda na Wanyarwanda. Na leo niwahakikishieni tu kuwa Rais Paul Kagame hayuko hivyo kama ambavyo Watanzania wengi ( siyo Wote ) mmelishwa ' Propaganda ' mbaya dhidi yake ambayo mmeiendeleza hadi kwa Wanyarwanda wenyewe. Watanzania mnapendwa na kuheshimiwa sana na Wanyarwanda kuliko ambavyo mnajua.
Cc killanga1
 
Cc killanga1

Leo hajalala na Wewe kwahiyo ndiyo maana unamuita au? Halafu umekosea Kuliandika Jina lake hivyo hawezi Kukupata hivyo tulia kisha uliandike upya Jina lake Mumeo huyo ili aweze Kukusikia Wewe Mkewe tafadhali.
 
Pamoja na jografia kuwa mbali ila uwezo wa taifa au mtu mwenye uwezo hauzuiwi nahilo ktk kushiriki mapinduzi au mauaji...fact yakuhusika au kutohusika haionekani wazi ila yote yanaweza kuwa sahihi au mojawapo kati ya hayo...hata cc watanzania tumeshiriki kuvisaidia vyama vya kikombozi enzi za kusaka uhuru hata wale ambao hatuko nao jirani kijografia...
 
Kiswahili ni kipana sana, anaposema "Kagame alikua na mkono kwenye mauaji ya Sankara" maana yake alihusika au alishiriki katika mauaji kwa namna moja au nyingine .

Ukirudia alichoandika utaona umesahau question mark aliyoiweka. Anauliza si ndio na sio kutueleza.
 
Uhusiano na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo si mzuri, hata baada ya vita kusimamishwa rasmi mwaka 2003; asasi za kutetea haki za binadamu zinadai Rwanda inaendelea kutegemeza makundi ya waasi ili kufaidika na maliasili ya nchi hiyo jirani, ingawa Kagame anakanusha. ...hapohapo msisahau kuwa alishiriki vita ya msituni kushirikiana na museveni kumuangusha Milton obote nahiyo kati ya mwaka 1981-95 ilipowakuta vita ya kikabila kule kwao Rwanda....xo 70% ya fact ya mtoa hoja inaweza angukia ukweli kuwa alihusika....Thomas Sankara aliangushwa kipindi hcho cha 1983 kma sijakosea kipindi hcho Kagame akizungukazunguka kuunga mkono wanaotaka kuangusha serikali zao ili naye aje kuungwa mkono na wao...
 
Burkina Faso na Rwanda wapi wapi wakati hata Kijiografia tu ziko mbali mno. Siku zingine hakikisheni mnapokuja Kuanzisha Mada hapa basi Vichwani mwenu ama Gongo au Bangi mlizotumia ziwe hazijawazidi Kipimo. Kuna Watu wengine huwa mnajidhalilisha na kuonyesha waziwazi jinsi mlivyo Watupu Vichwani.

Kwa kukusaidia tu hasa kwa nchi za Afrika zetu hizi Mipango mingi ya Kimapinduzi hufanywa na Watu ama walio ndani au walio nje ya nchi husika ila iliyo na ukaribu wa Kijiografia lakini ni ngumu leo hii Rais au Mwana Mapinduzi wa Botswana akasababisha Machafuko / Mapigano nchini Chad.

Vitu vingine wala havihitaji Akili Kubwa kuvijua ila najua dhamira yako Kuu hapa ni Kumdhalilisha na Kuzidi Kuonyesha na Kuwaaminisha Wana JamiiForums kuwa Rais wa Rwanda Paul Kagame ni Mtu mbaya sana wakati hata hapa nchini Kwako una Watu / Viongozi pengine wabaya na makatili kuliko huyo Kagame. Na najua wapo Watu watakuamini kwa haya Madai yako japo najua baadhi wenye Akili timamu na zilizotukuka watakupuuza tu.

Sijui ni Mtanzania gani aliyewapeni Sumu hii Kali Watanzania ya Kumchukia hivi Rais wa Rwanda Paul Kagame na Wanyarwanda wote hasa hasa wa Kabila la Watutsi ( Tutsi ) wakati hakuna nchi na Watu wanaowapenda Watanzania na Kuwaheshimu kama Rwanda na Wanyarwanda. Na leo niwahakikishieni tu kuwa Rais Paul Kagame hayuko hivyo kama ambavyo Watanzania wengi ( siyo Wote ) mmelishwa ' Propaganda ' mbaya dhidi yake ambayo mmeiendeleza hadi kwa Wanyarwanda wenyewe. Watanzania mnapendwa na kuheshimiwa sana na Wanyarwanda kuliko ambavyo mnajua.
Kuna mantiki labda kwa unachokisema,lakini hoja yako ni dhaifu"geographical factor" kuwa ndo genuine reason ya kupinga ama kukubali hoja ya mtoa hoja.tafakari
 
Kagame alikuwa na umri gani wakati huo anauwawa Thomas Sankara? Huenda alikuwa mwanafunzi tu ya angewezaje kuhusika na mauaji ya Sankara ili apate nini? Kagame alikuwa nani wakati huo?
Swali zuri sana. Kipindi hicho Kagame alikuwa anasoma secondary school Kabale nchi ni Uganda. Wakati huo maskini hata hajui SMG Ina uzito gani ikiwa loaded with full magazine.
 
Burkina Faso na Rwanda wapi wapi wakati hata Kijiografia tu ziko mbali mno. Siku zingine hakikisheni mnapokuja Kuanzisha Mada hapa basi Vichwani mwenu ama Gongo au Bangi mlizotumia ziwe hazijawazidi Kipimo. Kuna Watu wengine huwa mnajidhalilisha na kuonyesha waziwazi jinsi mlivyo Watupu Vichwani.

Kwa kukusaidia tu hasa kwa nchi za Afrika zetu hizi Mipango mingi ya Kimapinduzi hufanywa na Watu ama walio ndani au walio nje ya nchi husika ila iliyo na ukaribu wa Kijiografia lakini ni ngumu leo hii Rais au Mwana Mapinduzi wa Botswana akasababisha Machafuko / Mapigano nchini Chad.

Vitu vingine wala havihitaji Akili Kubwa kuvijua ila najua dhamira yako Kuu hapa ni Kumdhalilisha na Kuzidi Kuonyesha na Kuwaaminisha Wana JamiiForums kuwa Rais wa Rwanda Paul Kagame ni Mtu mbaya sana wakati hata hapa nchini Kwako una Watu / Viongozi pengine wabaya na makatili kuliko huyo Kagame. Na najua wapo Watu watakuamini kwa haya Madai yako japo najua baadhi wenye Akili timamu na zilizotukuka watakupuuza tu.

Sijui ni Mtanzania gani aliyewapeni Sumu hii Kali Watanzania ya Kumchukia hivi Rais wa Rwanda Paul Kagame na Wanyarwanda wote hasa hasa wa Kabila la Watutsi ( Tutsi ) wakati hakuna nchi na Watu wanaowapenda Watanzania na Kuwaheshimu kama Rwanda na Wanyarwanda. Na leo niwahakikishieni tu kuwa Rais Paul Kagame hayuko hivyo kama ambavyo Watanzania wengi ( siyo Wote ) mmelishwa ' Propaganda ' mbaya dhidi yake ambayo mmeiendeleza hadi kwa Wanyarwanda wenyewe. Watanzania mnapendwa na kuheshimiwa sana na Wanyarwanda kuliko ambavyo mnajua.
Kagame kipindi hicho alihusika directly kwani ndo alikua kijana mdogo mdogo hivi na alikua akiishi uganda na alikua akifanya mishe kama hizo maana alikua ashakua nyamera...itakua wewe sio mfatiliaji wa mambo kwahiyo unataka kusema nilikurupuka?
 
Tafadhari tupe muda gani ulishapita kati ya kifo cha Sankara na Utawala wa Kagame!!
Au Kagame alikuwa wapi wakati wa mauwaji!!
Msibebeshe watu mizigo ya uongo!!
 
Yaani waTz ni vilaza na waoga wa kutupwa mottoni kabisa, mkisikia neno ‘Paul Kagame’ presha 270!, mbona mbateseka?, na bado mtateseka sana kwa maana jamaa bado yupo yupo adi 2030!
 
Back
Top Bottom