Kagame alikua na mkono kwenye mauaji ya Thomas Sankara?

Kagame alikua na mkono kwenye mauaji ya Thomas Sankara?

Burkina Faso na Rwanda wapi wapi wakati hata Kijiografia tu ziko mbali mno. Siku zingine hakikisheni mnapokuja Kuanzisha Mada hapa basi Vichwani mwenu ama Gongo au Bangi mlizotumia ziwe hazijawazidi Kipimo. Kuna Watu wengine huwa mnajidhalilisha na kuonyesha waziwazi jinsi mlivyo Watupu Vichwani.

Kwa kukusaidia tu hasa kwa nchi za Afrika zetu hizi Mipango mingi ya Kimapinduzi hufanywa na Watu ama walio ndani au walio nje ya nchi husika ila iliyo na ukaribu wa Kijiografia lakini ni ngumu leo hii Rais au Mwana Mapinduzi wa Botswana akasababisha Machafuko / Mapigano nchini Chad.

Vitu vingine wala havihitaji Akili Kubwa kuvijua ila najua dhamira yako Kuu hapa ni Kumdhalilisha na Kuzidi Kuonyesha na Kuwaaminisha Wana JamiiForums kuwa Rais wa Rwanda Paul Kagame ni Mtu mbaya sana wakati hata hapa nchini Kwako una Watu / Viongozi pengine wabaya na makatili kuliko huyo Kagame. Na najua wapo Watu watakuamini kwa haya Madai yako japo najua baadhi wenye Akili timamu na zilizotukuka watakupuuza tu.

Sijui ni Mtanzania gani aliyewapeni Sumu hii Kali Watanzania ya Kumchukia hivi Rais wa Rwanda Paul Kagame na Wanyarwanda wote hasa hasa wa Kabila la Watutsi ( Tutsi ) wakati hakuna nchi na Watu wanaowapenda Watanzania na Kuwaheshimu kama Rwanda na Wanyarwanda. Na leo niwahakikishieni tu kuwa Rais Paul Kagame hayuko hivyo kama ambavyo Watanzania wengi ( siyo Wote ) mmelishwa ' Propaganda ' mbaya dhidi yake ambayo mmeiendeleza hadi kwa Wanyarwanda wenyewe. Watanzania mnapendwa na kuheshimiwa sana na Wanyarwanda kuliko ambavyo mnajua.
Huyu jamaa nimemshangaa sana nimeisoma sana historia ya Thomas Sankara jinsi alivosalitiwa mpaka kupinduliwa hatimae kuuwawa na rafiki yake kipenzi wa tangu utotoni Compaore.
Sasa hii habari ya Kagame kuhusika sijui kaitoa wapi.

Inawezekana kachanganya majina na huyu Sankara aliejifanya anakaribia kupindua utawala wa Kagame, mwisho wa siku kakamatwa kama kuku huko Comoro.
 
Tafadhari tupe muda gani ulishapita kati ya kifo cha Sankara na Utawala wa Kagame!!
Au Kagame alikuwa wapi wakati wa mauwaji!!
Msibebeshe watu mizigo ya uongo!!
Kagame kipindi hicho alikua kijana akitumiwa kupiga misheni kama hizo sehem mbalimbali
 
Nyie madada poa wa Lumumba tulishawazoea,, hamjitambui kazi yenu ni kutukana hata pasipo hitaji kutukana, na kibaya zaidi wengi wenu mnatumia mikalio yenu kufikiri
Blaalfuull wewe
Tafuta Kitabu cha The Rwanda Crisis kilichoandikwa na Bwana Gerald Prunier kisha utagundua ni akina nani ' exactly ' kati ya Watutsi na Wahutu ndiyo walichinja Wenzao vibaya na wanastahili kabisa Laana ya Mwenyezi Mungu. Siku zingine jitahidi Kwanza kwanza uwe na ' Intellectual Facts and Data ' juu ya Jambo ambalo labda huna uhakika nalo kuliko Kukurupuka hivi kama Mgonjwa wa Akili / Mwendawazimu.
 
Swali zuri sana. Kipindi hicho Kagame alikuwa anasoma secondary school Kabale nchi ni Uganda. Wakati huo maskini hata hajui SMG Ina uzito gani ikiwa loaded with full magazine.
Alikuwa sekondari (1987/88), akiwa na miaka 30? Halafu miaka 7 baadae akawa rais wa nchi?
 
Kagame alikuwa na umri gani wakati huo anauwawa Thomas Sankara? Huenda alikuwa mwanafunzi tu ya angewezaje kuhusika na mauaji ya Sankara ili apate nini? Kagame alikuwa nani wakati huo?
Kipindi hicho kagame alikuwa Afisa ujasusi mkuu wa Uganda chini ya rafiki yake Museven(October 1987) wakati Sankara anauwawa. Almost kagame alikuwa na umri wa miaka 30.
 
Kwenye pita pita mbalimbali nimekutana na maelezo kuwa kagame alikua na mkono kwenye mauaji ya rais wa zamani wa Burkina faso Bwana Thomas sankara

Kwa mliomjua kumsikia na kujuwa sankara alikua mzalendo wa kweli aliyeibadilisha nchi yake kimaendeleo muda mfupi tu na kuleta maendeleo makubwa lakini akaja kuuawa

Hakuna kifo cha mzalendo mweusi ambacho moyo wangu umekua ukiulilia kama wa huyu thomas sankara

Nilivyokutana na hii clip ya global tv huko youtube inayozungumzia huyu mzalendo hakika lazima machozi yakulenge[emoji1313][emoji1313]


Nimesikia kagame alihusika 100% kwa tetesi zilizopo yaani kama ni kweli basi kagame mwisho wake utakua mbaya na anguko baya sana

Leo wana traore anapita mule mule kwa sankara
 
Wahutu mlianzisha genocide mkaishia kukimbia baada ya kichapo kikali, naona mmeamia mitandaoni sasa kuendeleza sumu zenu
 
Burkina Faso na Rwanda wapi wapi wakati hata Kijiografia tu ziko mbali mno. Siku zingine hakikisheni mnapokuja Kuanzisha Mada hapa basi Vichwani mwenu ama Gongo au Bangi mlizotumia ziwe hazijawazidi Kipimo. Kuna Watu wengine huwa mnajidhalilisha na kuonyesha waziwazi jinsi mlivyo Watupu Vichwani.

Kwa kukusaidia tu hasa kwa nchi za Afrika zetu hizi Mipango mingi ya Kimapinduzi hufanywa na Watu ama walio ndani au walio nje ya nchi husika ila iliyo na ukaribu wa Kijiografia lakini ni ngumu leo hii Rais au Mwana Mapinduzi wa Botswana akasababisha Machafuko / Mapigano nchini Chad.

Vitu vingine wala havihitaji Akili Kubwa kuvijua ila najua dhamira yako Kuu hapa ni Kumdhalilisha na Kuzidi Kuonyesha na Kuwaaminisha Wana JamiiForums kuwa Rais wa Rwanda Paul Kagame ni Mtu mbaya sana wakati hata hapa nchini Kwako una Watu / Viongozi pengine wabaya na makatili kuliko huyo Kagame. Na najua wapo Watu watakuamini kwa haya Madai yako japo najua baadhi wenye Akili timamu na zilizotukuka watakupuuza tu.

Sijui ni Mtanzania gani aliyewapeni Sumu hii Kali Watanzania ya Kumchukia hivi Rais wa Rwanda Paul Kagame na Wanyarwanda wote hasa hasa wa Kabila la Watutsi ( Tutsi ) wakati hakuna nchi na Watu wanaowapenda Watanzania na Kuwaheshimu kama Rwanda na Wanyarwanda. Na leo niwahakikishieni tu kuwa Rais Paul Kagame hayuko hivyo kama ambavyo Watanzania wengi ( siyo Wote ) mmelishwa ' Propaganda ' mbaya dhidi yake ambayo mmeiendeleza hadi kwa Wanyarwanda wenyewe. Watanzania mnapendwa na kuheshimiwa sana na Wanyarwanda kuliko ambavyo mnajua.
Mimi mwenyewe nawapenda
Nasikia watoto wana maumbo mazuri
watoto wana sura nzuri
Ila kubwa kuliko yote watoto wana Maji ya kutosha!
ukimkiss tu
godoro lote linalowa
 
Burkina Faso na Rwanda wapi wapi wakati hata Kijiografia tu ziko mbali mno. Siku zingine hakikisheni mnapokuja Kuanzisha Mada hapa basi Vichwani mwenu ama Gongo au Bangi mlizotumia ziwe hazijawazidi Kipimo. Kuna Watu wengine huwa mnajidhalilisha na kuonyesha waziwazi jinsi mlivyo Watupu Vichwani.

Kwa kukusaidia tu hasa kwa nchi za Afrika zetu hizi Mipango mingi ya Kimapinduzi hufanywa na Watu ama walio ndani au walio nje ya nchi husika ila iliyo na ukaribu wa Kijiografia lakini ni ngumu leo hii Rais au Mwana Mapinduzi wa Botswana akasababisha Machafuko / Mapigano nchini Chad.

Vitu vingine wala havihitaji Akili Kubwa kuvijua ila najua dhamira yako Kuu hapa ni Kumdhalilisha na Kuzidi Kuonyesha na Kuwaaminisha Wana JamiiForums kuwa Rais wa Rwanda Paul Kagame ni Mtu mbaya sana wakati hata hapa nchini Kwako una Watu / Viongozi pengine wabaya na makatili kuliko huyo Kagame. Na najua wapo Watu watakuamini kwa haya Madai yako japo najua baadhi wenye Akili timamu na zilizotukuka watakupuuza tu.

Sijui ni Mtanzania gani aliyewapeni Sumu hii Kali Watanzania ya Kumchukia hivi Rais wa Rwanda Paul Kagame na Wanyarwanda wote hasa hasa wa Kabila la Watutsi ( Tutsi ) wakati hakuna nchi na Watu wanaowapenda Watanzania na Kuwaheshimu kama Rwanda na Wanyarwanda. Na leo niwahakikishieni tu kuwa Rais Paul Kagame hayuko hivyo kama ambavyo Watanzania wengi ( siyo Wote ) mmelishwa ' Propaganda ' mbaya dhidi yake ambayo mmeiendeleza hadi kwa Wanyarwanda wenyewe. Watanzania mnapendwa na kuheshimiwa sana na Wanyarwanda kuliko ambavyo mnajua.

Kwa ninavyowajua watanzania hata uwapende na kuwaheshimu kiasi gani ila ikitokea wakaamini kuwa wewe sio MTU wa matendo mema kwa watu wengine (hasa ndugu zao waafrika) basi wewe ni sifuri tu hufai
 
Si ungefanya tu hata research kidogo ndugu? Mwaka 1987 Kagame alikuwa na umri gan na alikuwa na nguvu gani za kimamlaka kumpindua na kumwua Sankara, na kwa maslahi yepi hasa maana Burkina Faso siyo nchi jirani na Rwanda wala Uganda alipokuwa akiishi Kagame wakati huo?
Wamemuweka KAGAME kwenye heading kukuvutia usikilize makala yake, lakini kwenye makala yenyewe hakutajwa hata kwa bahati mbaya.
Aina fulani ya utapeli kama muuza mkaa anaweza kukuwekea mapande makubwa makubwa juu, chini ukawekewa jivu.
 
Back
Top Bottom