Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!

Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!

Mpira umesimama Barthez anapewa matibabu kidogo...wachezaji wanapata muda wa kunywa maji Dakika ya 69.
 
Angekuwepo Ngoma sijui ingekuwaje leo
 
Tambwe kabaki na goli kapaishaaaaaaaa dah...
 
Back
Top Bottom