Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!


Du...haya mwaya....khah!
 
Hivi Tenga bado ni Mwenyekiti wa Cecafa? Someone to explain plz.

Huyu Musonye huwa simkubali kabisa, jamaa ni mbabe na anaiendesha hii Kanda kimagumashi kwa mawazo yake mwenyewe. Yaani tangu nimeanza kupata ufahamu wa masuala ya Michezo nimekuwa nikilisikia hili jina la Musonye tu ndani ya Cecafa. Hivi kanda nzima ya EA hakuna watu wengine wa kushika wadhifa huo zaidi ya huyu bwana.

BACK TANGANYIKA
 
Yanga 1 Gor Mahia 0.
Haya sasa mambo ndio kwanza yanaanza.
 
Asante kwa kuniita bestie, ngoja sasa nifuatilie huu mpambano sijui itakuwaje hadi filimbi ya mwisho

Mambo yetu mazuri bestie...
Sisi tena? Lazima tuwaoneshe kua sisi ni mabingwa wa kihistoria bwana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…