Mmepigwa 2 - 1Nipeni matokeo wadau ndo naingia humu.
Gor mahia 2 yanga 1. Donald ngoma nje red card. Nadinda harufu kamafala kakosa penalt. Hayo ndiyo yaliyotokea
Gor mahia 2 yanga 1. Donald ngoma nje red card. Nadinda harufu kamafala kakosa penalt. Hayo ndiyo yaliyotokea
Inaweza kuwa nzuri maana timu za mchangani hazipo!
Argue, do not shout!
Full Time: Bado tunachance hili kombe lazima tulibakishe.
Mpira ni Amani Mpira ni Upendo na Yanga NDIO MPIRA WENYEWE.
Hatukati tamaa jumatano lazima tuwalaze watu.
Yanga kama kawaida yenu ya kuiaibisha Tanzania ..
Sijui haya Mchezo gani sie tunaweza kujivunia.
Kenya pamoja na vurugu zote kwenye Siasa,Usalama,Ukabila.
Ila wamerejea kwenye Soka kwa kiwango kikubwa,Waganda ndio kabisaa wapo mbali.
Ila ukiamka na kusoma magazeti yetu,basi unaweza kusema kwamba hapa soka ndio kwao.Acha EPL ianze tuachane na huu ugonjwa wa moyo.
Uhuru Suleiman aliyaona haya,akakwepa Usajili huyooo akasepa zake South Africa
nifah welcom back my precious sis. Kwa hasira naenda ilala kupiga uji wa Shurba ntakaye kuwa nae leo usiku atabeba hasira marambili. Za kufungwa na za hawa mambumbumbu.com
Mkuu game ilikuwaje kwa ujumla lakini?
Kwani mechi imeishaje?
Imeisha kwa refa kupuliza filimbi...
Imeisha kwa refa kupuliza filimbi...
Kwa matokeo haya leo mji utakuwa shwari kabisa na Eid yetu itaenda vizuri sana.