Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!

Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!

Mjaluo anawabeba wajaluo wenzake hapa... Raha sanaaaaa
 
Bernard Ngoma wa Gor Mahia kapewa red card hapa
 
Inamaana hakuna Tv Station yoyote ya ndani ya nhi imepewa rights kuonyesha Mechi hizi?
Au TFF wameishafanya yao,maana kwa pesa hao
 
Magufuli kaogopa kuzomewa, hajatokea uwanjani badala yake kaja raila odinga...,.ukawa wamemtishia nyau na kaogopa kweli hahahahaha
 
Back
Top Bottom