ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kama Lissu anavyokataa maridhiano!Nakubalina na Kagame mikutano ya Kila siku sijui Kila mara ni upuuzi usio na msingi wakati kinachotakiwa kufanyika ni DRC iache kuwafurusha raia wake Nchi jirani Kwa visingizio visivyo n msingi.
View attachment 3230001
View: https://www.instagram.com/p/DF0r4baAgLm/?igsh=OTI1NmZ3d3ZhaG8y
Kagame amesisitiza hakuna mtu wa kuwazibia mdomo linapokuja suala la usalama wao.
Nani atamfunga paka kengele?Yuko sahihi kabisa huyu mzalendo wa Nchi yake.Ule mkutano wa Dar ulikuwa ni vichekesho tu yaani wanazunguka kusifiana na kusema wafungue uwanja wa ndege wa goma lakini wanayemtuhumu kusababisha vita wanamwogopa kumwambia.
😂😂😂😂Naona Kagame kasimama na mshikaji wake Museveni
Watu mnakutanishwa kuambiwa "Hili nalo muende mkalitazame". Natamani kujua Samia alichangia nini
Hawaachani, hachezi naye mbali.Naona Kagame kasimama na mshikaji wake Museveni
Watu mnakutanishwa kuambiwa "Hili nalo muende mkalitazame". Natamani kujua Samia alichangia nini
Sasa hapo kuna point gani, si bora angewatumia WhatsApp tu. Watu mnaitwa ili kuambiwa mkatafute ufumbuzi badala ya kuletewa ufumbuzi
Alikuwa anamuongelea samia wa mchambawima ambae kila mkutano lazima ahudhurie na tija ya mikutano hiyo haionekani.Nakubalina na Kagame mikutano ya Kila siku sijui Kila mara ni upuuzi usio na msingi wakati kinachotakiwa kufanyika ni DRC iache kuwafurusha raia wake Nchi jirani Kwa visingizio visivyo n msingi.
View attachment 3230001
View: https://x.com/TanzaniaInsight/status/1888451650827718870?t=Rdcr172Cbz2z3PedBL7iUQ&s=19
Kagame amesisitiza hakuna mtu wa kuwazibia mdomo linapokuja suala la usalama wao na kwamba Rwanda haihusiki na Vita ya Congo.
Hakuna pointi ila pointi unayo wewe.Sasa hapo kuna point gani, si bora angewatumia WhatsApp tu
Ilikuaje yeye akahudhuria ?Alikuwa anamuongelea samia wa mchambawima ambae kila mkutano lazima ahudhurie na tija ya mikutano hiyo haionekani.
Alikuwa anamuongelea samia wa mchambawima ambae kila mkutano lazima ahudhurie na tija ya mikutano hiyo haionekani.
Zaidi ya kusema hili nalo mkalitazame.
Hakuna kweli. Ndio maana PK kawaambia wasimpotezee mudaHakuna pointi ila pointi unayo wewe.