Kagame kaenda kuiba rasilimali za CAR

Kagame kaenda kuiba rasilimali za CAR

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Mzuka wanajamvi!

Kagame kapeleka majeshi yake Central African Republic haraka haraka kwa kisingizio cha kuleta amani na kusaidia serikali ya sasa isipinduliwe na waasi kuelekea uchaguzi mkuu jumapili. Licha ya majeshi ya Rwanda pia Urusi imepeleka. Urusi kikubwa anachotaka ni Uranium.

Central Africa Republic ambayo ina idadi ya watu 4 millions imebarikiwa na Madini na rasilmali nyingi sana Almasi nyingi, dhahabu nyingi, Urenium nyingii.

Pia ina misitu minene na mikubwa ambapo kuna uvunaji wa magogo na mbao. Nchi ina ardhi yenye rotuba. Kuna kilimo na uzalishaji mkubwa wa Pamba, kahawa na Tumbaku.

Licha ya Neema zote hizi Central African kuna umaskini wa ajabu na wakutupwa.

Kagame alivyo mjanjamjanja kashaingia huko na ataendelea kuitajirisha Rwanda jinsi alivyofanya kupitia Eastern Kongo.
 
Kagame ni beberu la africa, yupo vizuri sana kwenye hiyo michezo na anajenga nchi yake, Ajaribu mtu kumtoa aone
Ana stock kubwa sana ya madini aliyoyachukua Congo. Yani mzigo wa kutosha kahifadhi. Hajaridhika tu sasa hivi yuko CAR Jamaa janjajanja sana he is accumulating a lot of wealth. Kagame ni kupe wa ajabu na wa kipekee mwenye weledi wa aina yake kwa kuganda
 
Ana stock kubwa sana ya madini aliyoyachukua Congo. Yani mzigo wa kutosha kahifadhi. Hajaridhika tu sasa hivi yuko CAR Jamaa janjajanja sana he is accumulating a lot of wealth. Kagame ni kupe wa ajabu na wa kipekee mwenye weledi wa aina yake kwa kuganda
Wacha awanyooshe waliolala.. Ni bora madini hayo yaporwe na Waafrika watayatumia kujenga afrika kuliko yaporwe na watu wa mabara mengine.. Ile ubeberuni wanaita the lesser of two evils…
 
Wacha awanyooshe waliolala.. Ni bora madini hayo yaporwe na Waafrika watayatumia kujenga afrika kuliko yaporwe na watu wa mabara mengine.. Ile ubeberuni wanaita the lesser of two evils…
Nani alikwambia Kagame anayapora hayo madini kwa ajili ya waafrika?

Kagame ni project ya western countries, inasemekana anatumika na USA.

Kama hilo hujui, uliza ugomvi wake na JK ulitokana na nini?
 
Nani alikwambia Kagame anayapora hayo madini kwa ajili ya waafrika?
Kagame ni project ya western countries, inasemekana anatumika na USA.
Kama hilo hujui, uliza ugomvi wake na JK ulitokana na nini?
kwahiyo mzigo mzima anaupeleka ubeberuni? Rwanda hakibaki kitu?
 
Back
Top Bottom