Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Kama hilo hujui, uliza ugomvi wake na JK ulitokana na nini?
Jk naye alikaogopa, angekashikisha adabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hilo hujui, uliza ugomvi wake na JK ulitokana na nini?
Kampige biti Kagame amuacheAisee keita Temana na demu wangu
Bora yeye kaanza from scratch sio kama mliojengewa na mkoroni miji yote nchi nzima,Sema anaijenga Kigali. Miji mingine ni aibu hawataki hata uione!
Shinda ya wa africa ndio hio! Umbea mtupu.kazi na kutumia mali mlizonazo mnashindwa ila mdomo ndio kazi tu, africa umasikini hauko ardhini bali vichwani mwenu. Akibatikana mwenye kujielewa na mnaanza kuongea ongea.Mzuka wanajamvi!
Kagame kapeleka majeshi yake Central African Republic haraka haraka kwa kisingizio cha kuleta amani na kusaidia serikali ya sasa isipinduliwe na waasi kuelekea uchaguzi mkuu jumapili. Licha ya majeshi ya Rwanda pia Urusi imepeleka. Urusi kikubwa anachotaka ni Uranium.
Central Africa Republic ambayo ina idadi ya watu 4 millions imebarikiwa na Madini na rasilmali nyingi sana Almasi nyingi, dhahabu nyingi, Urenium nyingii.
Pia ina misitu minene na mikubwa ambapo kuna uvunaji wa magogo na mbao. Nchi ina ardhi yenye rotuba. Kuna kilimo na uzalishaji mkubwa wa Pamba, kahawa na Tumbaku.
Licha ya Neema zote hizi Central African kuna umaskini wa ajabu na wakutupwa.
Kagame alivyo mjanjamjanja kashaingia huko na ataendelea kuitajirisha Rwanda jinsi alivyofanya kupitia Eastern Kongo.
Nani alikwambia Kagame anayapora hayo madini kwa ajili ya waafrika?
Kagame ni project ya western countries, inasemekana anatumika na USA.
Kama hilo hujui, uliza ugomvi wake na JK ulitokana na nini?
Peponi mawe yote ni ya dhahabu na almasi, huko tanzanite ndiyo mawe ya kuangushia maembe.
The best comment ever, sjui ulifikiria nini.Peponi mawe yote ni ya dhahabu na almasi, huko tanzanite ndiyo mawe ya kuangushia maembe.
Kagame mjanjaMzuka wanajamvi!
Kagame kapeleka majeshi yake Central African Republic haraka haraka kwa kisingizio cha kuleta amani na kusaidia serikali ya sasa isipinduliwe na waasi kuelekea uchaguzi mkuu jumapili. Licha ya majeshi ya Rwanda pia Urusi imepeleka. Urusi kikubwa anachotaka ni Uranium.
Central Africa Republic ambayo ina idadi ya watu 4 millions imebarikiwa na Madini na rasilmali nyingi sana Almasi nyingi, dhahabu nyingi, Urenium nyingii.
Pia ina misitu minene na mikubwa ambapo kuna uvunaji wa magogo na mbao. Nchi ina ardhi yenye rotuba. Kuna kilimo na uzalishaji mkubwa wa Pamba, kahawa na Tumbaku.
Licha ya Neema zote hizi Central African kuna umaskini wa ajabu na wakutupwa.
Kagame alivyo mjanjamjanja kashaingia huko na ataendelea kuitajirisha Rwanda jinsi alivyofanya kupitia Eastern Kongo.
UongoNani alikwambia Kagame anayapora hayo madini kwa ajili ya waafrika?
Kagame ni project ya western countries, inasemekana anatumika na USA.
Kama hilo hujui, uliza ugomvi wake na JK ulitokana na nini?