Kagame kaenda kuiba rasilimali za CAR

Kagame kaenda kuiba rasilimali za CAR

Mzuka wanajamvi!

Kagame kapeleka majeshi yake Central African Republic haraka haraka kwa kisingizio cha kuleta amani na kusaidia serikali ya sasa isipinduliwe na waasi kuelekea uchaguzi mkuu jumapili. Licha ya majeshi ya Rwanda pia Urusi imepeleka. Urusi kikubwa anachotaka ni Uranium.

Central Africa Republic ambayo ina idadi ya watu 4 millions imebarikiwa na Madini na rasilmali nyingi sana Almasi nyingi, dhahabu nyingi, Urenium nyingii.

Pia ina misitu minene na mikubwa ambapo kuna uvunaji wa magogo na mbao. Nchi ina ardhi yenye rotuba. Kuna kilimo na uzalishaji mkubwa wa Pamba, kahawa na Tumbaku.

Licha ya Neema zote hizi Central African kuna umaskini wa ajabu na wakutupwa.

Kagame alivyo mjanjamjanja kashaingia huko na ataendelea kuitajirisha Rwanda jinsi alivyofanya kupitia Eastern Kongo.
Shinda ya wa africa ndio hio! Umbea mtupu.kazi na kutumia mali mlizonazo mnashindwa ila mdomo ndio kazi tu, africa umasikini hauko ardhini bali vichwani mwenu. Akibatikana mwenye kujielewa na mnaanza kuongea ongea.
 
Nani alikwambia Kagame anayapora hayo madini kwa ajili ya waafrika?

Kagame ni project ya western countries, inasemekana anatumika na USA.

Kama hilo hujui, uliza ugomvi wake na JK ulitokana na nini?

Ugomvi wao ulitokana na JK kumwambia ni lazima afanye mazungumzo na waasi waliokua wanampinga PK kutokea misitu ya DRC. Na mambo yaliharibika zaidi JK aliposisitiza hilo walipokutana Ethiopia, hayo yalisemwa na PK aliposema JK atapigwa na hatojua kilichompiga. JK alipoacha na agenda hio ugomvi wao uliishia hapo.
 
Mzuka wanajamvi!

Kagame kapeleka majeshi yake Central African Republic haraka haraka kwa kisingizio cha kuleta amani na kusaidia serikali ya sasa isipinduliwe na waasi kuelekea uchaguzi mkuu jumapili. Licha ya majeshi ya Rwanda pia Urusi imepeleka. Urusi kikubwa anachotaka ni Uranium.

Central Africa Republic ambayo ina idadi ya watu 4 millions imebarikiwa na Madini na rasilmali nyingi sana Almasi nyingi, dhahabu nyingi, Urenium nyingii.

Pia ina misitu minene na mikubwa ambapo kuna uvunaji wa magogo na mbao. Nchi ina ardhi yenye rotuba. Kuna kilimo na uzalishaji mkubwa wa Pamba, kahawa na Tumbaku.

Licha ya Neema zote hizi Central African kuna umaskini wa ajabu na wakutupwa.

Kagame alivyo mjanjamjanja kashaingia huko na ataendelea kuitajirisha Rwanda jinsi alivyofanya kupitia Eastern Kongo.
Kagame mjanja
 
Sio kweli mtoa mada JWTZ iko kule mwaka wa nane sasa mbona haini haya ni majukumu yaliyoko chini ya Umoja wa mataifa
 
Nani alikwambia Kagame anayapora hayo madini kwa ajili ya waafrika?

Kagame ni project ya western countries, inasemekana anatumika na USA.

Kama hilo hujui, uliza ugomvi wake na JK ulitokana na nini?
Uongo
 
Back
Top Bottom