Ndg zangu hebu tuamke kifikira tuache ushabiki wa kisiasa hebu tuangarie Maendeleo ya inchi yetu.CCM imeturudisha nyuma sana hebu tuiweke kando kwanza.Mpeni kura za ndiyo Dr Slaa 2010.ili tuone mabadiriko angalau, hata km na yeye akija kutugeuka tunamtoa vilevile tusiogope
ENYI CHADEMA.....URAISI HAUFANYIWI MAJARIBIO.....SIO KUWA MBUNGE KWA VIPINDI VIWILI UTOSHE KUONGOZA NCHI........kama ambavyo JK 1995 hakutosha kuwa rais kwani nafasi alizoshika hazikukidhi vigezo....UBUNGE NA UWAZIRI aliokuwa nao bado haukuwa uzoefu tosha........!bado hujakomaa kuingoza TZ Slaa NZANIA YETU....muulize msomi mwenzako LIPUMBA aliyedhani usomi ni urais.
POLE SANA "MKUU MAHESABU" Umeonyesha jinsi usivyojihusisha na maendeleo kuanzia yako binafsi na taifa lako pia, kwa mawazo yako wewe mtu anapata uzoefu akiwa ktk serkali tu au precisely ccm tu.