Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I bet,wakipata shida sasa hivi hawawezi kuja Tanzania!Lazima muelewe kuwa Tanzania ndio wasuluhishi wakuu wa matatizo ya kisiasa nchini Kenya. Hatuwezi kuanza kutoa matamko mapema wakati hali bado ni tete nchini Kenya.
Mwaka 2007 walipoingia kwenye machafuko ya kisiasa hawakukimbilia Uganda au Rwanda bali walikuja Tanzania kutuomba tuwasaidie.
Ni lazima serikali iwasiliane na pande zote kabla ya kutoa tamko.
Muda mwafaka ukifika, salamu za pongezi zitatumwa.
PovuMadikiteta lazima waanze nawashangaa sana wanaojiita wapinzani ambao ata mimi mwao niliwaona wana akili na nikawapa kura 2015...sasa natamka...mtajuta maisha yenu yote ...nmeamini CDM ipo mikononi mwa bussness man no Party at all...2015 mliona mmeibiwa na kujfanya ohhho tuanenda The Hegue leo mnaona Uhuru kuua Mkurugenzi wa IT wa Tume ya Uchaguzi na kuhack matokeo ni sahihi...sasa aminini kua mmeshaondolewa kwenye mstari na wamiliki wapya wa chama sasa wanaotafta biashara Kenya baada ya JPM kudai VAT kila mahali.. nisiwaskie wakilalamika kuanzia 2025 cz najua 2020 JPM hana mpinzani mazuri aliyofanya ikiwemo kubana mirija ya wezi ....nataman mlizwe kwenye syastem ya uchaguzi 2025 na naamin itakua hivyo...na huu uzi nitaupdate. ..mkasherekee salama EL ...RA n ur CDM team
Lazima muelewe kuwa Tanzania ndio wasuluhishi wakuu wa matatizo ya kisiasa nchini Kenya. Hatuwezi kuanza kutoa matamko mapema wakati hali bado ni tete nchini Kenya.
Mwaka 2007 walipoingia kwenye machafuko ya kisiasa hawakukimbilia Uganda au Rwanda bali walikuja Tanzania kutuomba tuwasaidie.
Ni lazima serikali iwasiliane na pande zote kabla ya kutoa tamko.
Muda mwafaka ukifika, salamu za pongezi zitatumwa.
Btw tangazo la ushindi limetolewa saa ngapi? Sasa hivi saa ngapi? Kwanini tufikiri JPM amechelewa? Kama tume ya uchaguzi imemtangaza Rais atatuma salamu za pongezi hilo halina ubishi zaidi ya kukuzwa tu na bavicha ....Lazima muelewe kuwa Tanzania ndio wasuluhishi wakuu wa matatizo ya kisiasa nchini Kenya. Hatuwezi kuanza kutoa matamko mapema wakati hali bado ni tete nchini Kenya.
Mwaka 2007 walipoingia kwenye machafuko ya kisiasa hawakukimbilia Uganda au Rwanda bali walikuja Tanzania kutuomba tuwasaidie.
Ni lazima serikali iwasiliane na pande zote kabla ya kutoa tamko.
Muda mwafaka ukifika, salamu za pongezi zitatumwa.
walikuja kwa kikwete sio huyu wa Leo huyu hawezi hata kuwasuluhisha kukuLazima muelewe kuwa Tanzania ndio wasuluhishi wakuu wa matatizo ya kisiasa nchini Kenya. Hatuwezi kuanza kutoa matamko mapema wakati hali bado ni tete nchini Kenya.
Mwaka 2007 walipoingia kwenye machafuko ya kisiasa hawakukimbilia Uganda au Rwanda bali walikuja Tanzania kutuomba tuwasaidie.
Ni lazima serikali iwasiliane na pande zote kabla ya kutoa tamko.
Muda mwafaka ukifika, salamu za pongezi zitatumwa.
Lazima muelewe kuwa Tanzania ndio wasuluhishi wakuu wa matatizo ya kisiasa nchini Kenya. Hatuwezi kuanza kutoa matamko mapema wakati hali bado ni tete nchini Kenya.
Mwaka 2007 walipoingia kwenye machafuko ya kisiasa hawakukimbilia Uganda au Rwanda bali walikuja Tanzania kutuomba tuwasaidie.
Ni lazima serikali iwasiliane na pande zote kabla ya kutoa tamko.
Muda mwafaka ukifika, salamu za pongezi zitatumwa.
Kkaka kwa mara ya kwanza nimeamini your a Gentleman achana na wapigaji wamekodoa macho kuangalia upenyo. ..sasa wanasuport aliyeua IT Director wa Tume ya uchaguzi kenya na kumkata mikono hawa ni wapinzani au wapiga dili ...nmeamin CDM iliuzwa 2015. ...Maskini na wasio na elimu ndio wanadanganywa bila kujua wenzao wamefcha ela Australia na wamekabdhi chama
Absolutely-Yes!Uhuru is the best presidentuhuru ni rais bora afrika mashariki na kati.......
Friend of my enemy is enemyMadikiteta lazima waanze nawashangaa sana wanaojiita wapinzani ambao ata mimi mwao niliwaona wana akili na nikawapa kura 2015...sasa natamka...mtajuta maisha yenu yote ...nmeamini CDM ipo mikononi mwa bussness man no Party at all...2015 mliona mmeibiwa na kujfanya ohhho tuanenda The Hegue leo mnaona Uhuru kuua Mkurugenzi wa IT wa Tume ya Uchaguzi na kuhack matokeo ni sahihi...sasa aminini kua mmeshaondolewa kwenye mstari na wamiliki wapya wa chama sasa wanaotafta biashara Kenya baada ya JPM kudai VAT kila mahali.. nisiwaskie wakilalamika kuanzia 2025 cz najua 2020 JPM hana mpinzani mazuri aliyofanya ikiwemo kubana mirija ya wezi ....nataman mlizwe kwenye syastem ya uchaguzi 2025 na naamin itakua hivyo...na huu uzi nitaupdate. ..mkasherekee salama EL ...RA n ur CDM team
Mkuu,mtukufu alishayakoroga tangu mwanzo kuside na mjaluo kwahiyo hata salamu zake akizitoa mtoto wa mjini Uhuru atazichukulia kama zero tuJamaa alishaharibu kutoa pongezi ni kujichanganya mkuu na nikuendela kudhihirisha mataifa ya nje yanachosema kuhusu utawala huu
Madikiteta lazima waanze nawashangaa sana wanaojiita wapinzani ambao ata mimi mwao niliwaona wana akili na nikawapa kura 2015...sasa natamka...mtajuta maisha yenu yote ...nmeamini CDM ipo mikononi mwa bussness man no Party at all...2015 mliona mmeibiwa na kujfanya ohhho tuanenda The Hegue leo mnaona Uhuru kuua Mkurugenzi wa IT wa Tume ya Uchaguzi na kuhack matokeo ni sahihi...sasa aminini kua mmeshaondolewa kwenye mstari na wamiliki wapya wa chama sasa wanaotafta biashara Kenya baada ya JPM kudai VAT kila mahali.. nisiwaskie wakilalamika kuanzia 2025 cz najua 2020 JPM hana mpinzani mazuri aliyofanya ikiwemo kubana mirija ya wezi ....nataman mlizwe kwenye syastem ya uchaguzi 2025 na naamin itakua hivyo...na huu uzi nitaupdate. ..mkasherekee salama EL ...RA n ur CDM team