Kagame na Rwanda baada yake, "Kumbe vitini ni Maumivu"

Ndo mana alisikilizwa na karudi kwenye kinganyiro tena. Wakati ule hakushonda na mahakama ilithibitisha Hilo. Ingekuwa Africa au Asian countries ameshauawa siku nyingi na Biden
Kweli !
 
Rwanda haikutakiwa kuwa nchi ilitakiwa iwe mkoa km Kigoma au Kagera sema mjerumani aliharibu sana. Kaanchi kadogo haina rasilimali ya maana ndiyo maana Kagame ameganda pale Goma

Huna maoni yoyote kuhusu ukubwa wa Zanzibar, Mauritius, Comoro nk kwa ulinganifu kama nchi ni kwa kigezo Cha ukubwa wa eneo.
 

Bila kuisahau shughuli pevu ya kuuona ufalme wa mbinguni kwa tajiri.
 
Demokrasia ni ushenzi tu.
Ili Afrika tutoke hapa tulipo inabidi tupambane sana kutoka kwenye hili zimwi la kuitwa demokrasia.
 
Demokrasia ni ushenzi tu.
Ili Afrika tutoke hapa tulipo inabidi tupambane sana kutoka kwenye hili zimwi la kuitwa demokrasia.
Mbona nchi zenye demokrasia ndo zenye maendeleo Sasa. Mfano marekani, uingereza, ujerumani, ufaransa nk
 
Mbona nchi zenye demokrasia ndo zenye maendeleo Sasa. Mfano marekani, uingereza, ujerumani, ufaransa nk
Mbona zote ulizotaja hapo hakuna hata moja inayofuata hiyo demokrasia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…