Yoda JF-Expert Member Joined Jul 22, 2018 Posts 48,475 Reaction score 70,102 Aug 18, 2024 #1 Linapokuja suala la dini Kagame ndiye kiongozi 'sensible' zaidi katika bara la Africa. Sasa hivi anafikiria makanisa yaanze kulipa kodi! Pia soma: Rwanda yafunga makanisa 4,000 na misikiti 100 iliyokiuka vigezo vya usalama Rais wa Rwanda, Paul Kagame, ametangaza kuwa anaweza kuanzisha kodi kwenye sadaka za kanisa ili kukabiliana na kile anachokitaja kama unyang'anyi na unyonyaji unaofanywa na baadhi ya viongozi wa kiinjili. - Tnx. Africa
Linapokuja suala la dini Kagame ndiye kiongozi 'sensible' zaidi katika bara la Africa. Sasa hivi anafikiria makanisa yaanze kulipa kodi! Pia soma: Rwanda yafunga makanisa 4,000 na misikiti 100 iliyokiuka vigezo vya usalama Rais wa Rwanda, Paul Kagame, ametangaza kuwa anaweza kuanzisha kodi kwenye sadaka za kanisa ili kukabiliana na kile anachokitaja kama unyang'anyi na unyonyaji unaofanywa na baadhi ya viongozi wa kiinjili. - Tnx. Africa
Waka Waka JF-Expert Member Joined Aug 16, 2024 Posts 1,333 Reaction score 2,076 Aug 18, 2024 #2 Ok!! Akuna chawa kule!!
T The Evil Genius JF-Expert Member Joined Mar 21, 2014 Posts 6,017 Reaction score 19,506 Aug 18, 2024 #3 Dini ni utapeli kama utapeli mwingine.
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Joined Mar 3, 2023 Posts 20,704 Reaction score 66,337 Aug 18, 2024 #4 Kabisa, hizo kodi zi zinaenda kwenye maendeleo ya taifa.... Huyo mungu si anapenda maendeleo?