Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,101
.
- Ala Kagasheki kumbe ni mnafiki? au ni wewe ndiye mnafiki unajisema? Labda ufafanue kidogo hapo mkuu?
- Malecela hana sababu ya kung'atuka maana wananchi wa jimbo lake bado tunaridhka naye, na hajasema anataka kutoka kama Kagasheki kwamba anatafuta ubalozi., au?
Ahsante.
William.
Nadhani sote hatujasahau, ni kweli alisema hatagombea. Jikumbusheni kwa kutembelea link hapo chini:
Msekwa: Hakuna kustaafu
- Vipi ukiweka sababu za unafiki wa Mkuu William? Kuhusu Malecela sioni hoja, ya ahsante wewe huwezi kumuamulia what to write and what not to!
Respect.
FMEs!
Hivi haya maneno ya "wananchi" bado tunaridhika naye au ni "wewe" as individua unaridhika nayel! Dont generalize and reach a conclusion on national issues William!Unanikumbusha kuanzishwa vyama vingi wakati it was said that "wananchi hawataki vyama vingi"!Hizi slogan bado zipo tu!
Hizi IPs kidogo zinanichanganya!!!!
Nadhani sote hatujasahau, ni kweli alisema hatagombea. Jikumbusheni kwa kutembelea link hapo chini:
Msekwa: Hakuna kustaafu
Hivi haya maneno ya "wananchi" bado tunaridhika naye au ni "wewe" as individua unaridhika nayel! Dont generalize and reach a conclusion on national issues William!Unanikumbusha kuanzishwa vyama vingi wakati it was said that "wananchi hawataki vyama vingi"!Hizi slogan bado zipo tu!
Mbunge wa Bukoba mjini na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Balozi Sued Kagasheki amekanusha habari iliyoandikwa na gazeti la Mtanzania Daima kuwa hatogombea tena ubunge maana ana kazi nyingi za kufanya.
Akiongea kupitia kituo anachokimiliki, Radio Kasilibambe FM ya Bukoba mjini. Kwa mbinde sana Kagasheki amedai kuwa hayo ni mambo ya kisiasa na kama angekuwa amefikia uamuzi huo watu wa kwanza kujua wangekuwa wapiga kura wake.
Mh. Kagsheki amekuwa katika wakati mgumu hasa baada ya kugundua ukweli juu ya nguvu dhaifu aliyonayo kisiasa jimboni kwake hata baada ya kupoteza fedha nyingi katika miradi ya jamii iliyogeuka kuwa miradi ya kidini na ya watu binafsi. Baya zaidi ni SACCOs ambayo watu wengi walilipa pesa kujiunga na mpaka sasa ni mwaka wa tatu hawajakopechwa hata senti moja. Taarifa tulizonazo ni kuwa sasa Mbunge ameridhia kuvunjwa kwa SACCOs hii ambayo marejesho yake ni mabaya sana. Kiasi cha TShs. 40M ziko nje na hazijarejeshwa kwa muda mrefu.
Tukio la hivi karibuni la mapokezi ya kihistoria aliyopewa W.Lwakatare limemfungua macho na kuhoji taarifa za kukubalika kwake alizokuwa akipewa na wapambe.
Pamoja na kuwanufaisha watu kwa msingi wa dini, Kagasheki anakabiliwa na changamoto ya ahadi alizotoa wakati wa uchaguzi kubwa zikiwa kuufanya uwanja wa ndege wa Bukoba kuwa wa Kimataifa na kuhakikisha Hospitali ya mkoa inapata hadhi ya Rufaa.
Wakulu,
Ni heshima kufa ukiwa kiongozi na hilo ndilo limo miongoni mwa wazee ving'ang'anizi wa maradaraka,Watu wanadhani walizaliwa kuwa viongozi wa milele,Mie naona Mzee Malecela Amechoka anhitaji kupumzika na kubaki kuwa Mshauri tu.
William kama unaweza msaidia mzee wako chukua fomu au mtu mwingine,Haiwezekani kusema kuwa kila mtu anaridhika na utendaji wa Mze Malecela!
sina ugomvi na mzee huyu,ninafahamu utendaji wake ila imefikia wakati akaamuua kupumzika tu
Bora lakini siyo king'ang'anizi kama wengine. Tungoje tuone sasa kama hata gombea kweli maana Msekwa nae hivyo hivyo akasema anastaafu nikashanga mu yupo kwenye kinyang'anyiro cha uspeaker.