NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Simba Bingwa tena 2021 au nasema aungo ndugu zangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na washukuru swaumu ilikuwa wafe 5daaah,goli chache sana. ubingwa tayari tunakuja kushangilia magol tu
Azam Prince Dube kesharudi, kwa zile beki za Uto lazima Uto watalizwa.So mechi ijayo mnyama anaenda kwenye nafasi yake kwa utofauti wa magoli...jumapili utopolo anapotea azam hawezi kukubali
Sio kwa tofauti ya magoli, ni kwa tofauti ya points, maana hakuna namna yoyote ambapo matokeo ya mechi yanaipa timu pointi mbiliSo mechi ijayo mnyama anaenda kwenye nafasi yake kwa utofauti wa magoli...jumapili utopolo anapotea azam hawezi kukubali
Kwa tofauti ya point mojaSo mechi ijayo mnyama anaenda kwenye nafasi yake kwa utofauti wa magoli...jumapili utopolo anapotea azam hawezi kukubali
Daaah kweli mkuu nashukuru kwa kunitoa tongotongo. Simba anapoint 55 nilighafilika nikajua 54Sio kwa tofauti ya magoli, ni kwa tofauti ya points, maana hakuna namna yoyote ambapo matokeo ya mechi yanaipa timu pointi mbili
Baada ya hapo tunawafunga magoli ya kutosha May 8 halafu wanapoteana na kumfukuza huyo kocha wao mpyaAzam Prince Dube kesharudi,kwa zile beki za Uto lazima Uto watalizwa.
Mungu wabariki Azam.
Hao ni wanaume au wanawake mbona hawapo kwenye ile orodha ya wanaume 8?Ah siku ile mlimfumania al ahly kwa upuuzi wa mosimane....wee bingwa wa africa alafu unaenda kupaki basi?
Wanaume walikuwa wanigeria...gozi la ng'ombe liliwekwa chini kitu kikapigwa.
Kaka mie na appreciate football tactics not football teams. Kama wewe unawaona wanawake hiyo ni haki yako. Kwangu mie nimejifunza how to approach a game ukiwa away from home.Hao ni wanaume au wanawake mbona awapo kwenye ile orodha ya wanaume 8?
Kama unachambua wewe mtaalam, mimi ni nani nikubishieYanga kacheza michezo 26 ana magoli 41 kafungwa goli 16
Simba kacheza michezo 23 nana magoli 54 kafungwa goli 9...
Harmo ni mrefu?Ha ha haa, usihofu, hawa wafupi huwa ni wafupi kwenye kila kitu
Wamefanya, sawa na ombi lako mkuu.Mnyama nipigie hao walima miwa goal 2 zinawatosha!