Kagera: Ateketea kwa moto gesti

Kagera: Ateketea kwa moto gesti

“Marehemu alikuwa ni kati ya watu watano ambao walinusurika kifo baada ya kujiokoa na moto huo.”

Kwa hiyo ina maana moto aliufaiti lakini alipopigwa panga la mbavu na mwemye mume ndipo alipokufa, got it.

“Marehemu alikuwa ni kati ya watu watano ambao walinusurika kifo baada ya kujiokoa na moto huo.”

Kwa hiyo ina maana moto aliufaiti lakini alipopigwa panga la mbavu na mwemye mume ndipo alipokufa, got it.
Nimesoma mara 2 hapo..
 
Dah pole yake.

Kafa kifo cha mateso sana , moto? Nikiunguaga tu na pasi inauma vile au ukanyage bahati mbaya kimkaa cha moto shughuli unaipata.

Apumzike kwa amani.
Moto kabla yakukuunguza tayari utakua umepoteza fahamu kwasababu unamaliza oxygen yote unapowaka ndani ya nyumba.
 
Dah pole yake.

Kafa kifo cha mateso sana , moto? Nikiunguaga tu na pasi inauma vile au ukanyage bahati mbaya kimkaa cha moto shughuli unaipata.

Apumzike kwa amani.
Wengi wanaokufa kwa moto/kuungua... Carbon Monoxide inawaondoa kabla hawajateketea
 


MTU mmoja mkoani Kagera aliyetajwa kwa jina la Neema Bayo (49) aliyekuwa ndani ya moja ya vyumba vya nyumba ya kulala wageni inayojulikana kwa jina la Anti iliyoko wilayani Muleba mkoani Kagera amepoteza maisha kwa kuteketea kwa moto ulioteketeza nyumba hiyo ambao hadi sasa chanzo chake hakijajulikana baada ya kushindwa kujiokoa.

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani humo Kamishina Msaidizi, Revocatus Malimi alifika kwenye eneo la tukio na kupata maelezo ya awali kutoka kwa mhudumu wa hoteli hiyo.

Baada ya kupata maelezo hayo akielezea juu ya tukio hilo amesema kuwa marehemu huyo alikuwa ni mmoja wa watu watano walikuwa wamefikia kwenye nyumba hiyo ya wageni ambao walinusurika kifo baada ya kujiokoa kufuatia moto huo.
unahis neema hakuwapa nini majamaa maana moto kila siku duuuuu we mpelekee moto peleka moto
 
ilikuaga investment ya mzee wangu hii.

Akapata stroke akafariki baada ya kusikia mtu amekufa hapo.
 
Back
Top Bottom