“Marehemu alikuwa ni kati ya watu watano ambao walinusurika kifo baada ya kujiokoa na moto huo.”
Kwa hiyo ina maana moto aliufaiti lakini alipopigwa panga la mbavu na mwemye mume ndipo alipokufa, got it.
Nimesoma mara 2 hapo..“Marehemu alikuwa ni kati ya watu watano ambao walinusurika kifo baada ya kujiokoa na moto huo.”
Kwa hiyo ina maana moto aliufaiti lakini alipopigwa panga la mbavu na mwemye mume ndipo alipokufa, got it.
Moto kabla yakukuunguza tayari utakua umepoteza fahamu kwasababu unamaliza oxygen yote unapowaka ndani ya nyumba.Dah pole yake.
Kafa kifo cha mateso sana , moto? Nikiunguaga tu na pasi inauma vile au ukanyage bahati mbaya kimkaa cha moto shughuli unaipata.
Apumzike kwa amani.
Ishawahi kutokea hata useme hakina mateso..?In fact kifo cha moto hakina mateso. Kabla uungue unakuwa umezimia kwa sababu ya moshi.
Wamesemaje ?Nimesoma mara 2 hapo..
Wengi wanaokufa kwa moto/kuungua... Carbon Monoxide inawaondoa kabla hawajateketeaDah pole yake.
Kafa kifo cha mateso sana , moto? Nikiunguaga tu na pasi inauma vile au ukanyage bahati mbaya kimkaa cha moto shughuli unaipata.
Apumzike kwa amani.
unahis neema hakuwapa nini majamaa maana moto kila siku duuuuu we mpelekee moto peleka moto
MTU mmoja mkoani Kagera aliyetajwa kwa jina la Neema Bayo (49) aliyekuwa ndani ya moja ya vyumba vya nyumba ya kulala wageni inayojulikana kwa jina la Anti iliyoko wilayani Muleba mkoani Kagera amepoteza maisha kwa kuteketea kwa moto ulioteketeza nyumba hiyo ambao hadi sasa chanzo chake hakijajulikana baada ya kushindwa kujiokoa.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani humo Kamishina Msaidizi, Revocatus Malimi alifika kwenye eneo la tukio na kupata maelezo ya awali kutoka kwa mhudumu wa hoteli hiyo.
Baada ya kupata maelezo hayo akielezea juu ya tukio hilo amesema kuwa marehemu huyo alikuwa ni mmoja wa watu watano walikuwa wamefikia kwenye nyumba hiyo ya wageni ambao walinusurika kifo baada ya kujiokoa kufuatia moto huo.
Yess kifo cha moto kinatesa kama kiko kwa namna kama ya wale marehem 150 wa morogoro na lori la mafuta.In fact kifo cha moto hakina mateso. Kabla uungue unakuwa umezimia kwa sababu ya moshi.
Ni sahihi. Katika hli kama hiyo unashauriwa utambae chinichini ukiburuza tumbo kuelekea ExistIn fact kifo cha moto hakina mateso. Kabla uungue unakuwa umezimia kwa sababu ya moshi.
Sorry, sehemu ya kutokea!Ni sahihi. Katika hli kama hiyo unashauriwa utambae chinichini ukiburuza tumbo kuelekea Exist
hahahahaha
Jeshi lenyewe halijui kila moto unawashindaAjali zitokanazo na moto zimetamalaki mwezi huu. Jeshi la Zimamoto lijipange kutoa elimu kuhusu kupambana na moto katika makazi ya watu.
Mkuu una wasiwasi labda katerero ilimlevya?Mungu saidia awe hakwenda kupigwa katerero, dah.