Kagera: Maandalizi ya Wiki ya Maandamano ya Amani yakamilika

Kagera: Maandalizi ya Wiki ya Maandamano ya Amani yakamilika

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Screenshot_2024-04-21-20-27-35-1.png


Taarifa ikufikie popote ulipo , kwamba ile wiki ya Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA yatakayofanyika Dunia nzima , kupinga Ugumu wa Maisha Nchini Tanzania pamoja na Sheria mbovu na Duni sana za Uchaguzi zilizosainiwa na Rais Samia , huku akijua kwamba Sheria hizo ni Hatarishi na zinapingwa kila Mahali , hata hivyo akawadharau Wanachi ( Madaraka ya kulevya ) Yamekamilika .

Baadhi ya Wadau na viongozi wa Chadema Tayari wameanza kusogea kwenye Eneo la Tukio , akiwemo Mwakilishi wa Watanzania Mdude Nyagali

Screenshot_2024-04-21-13-07-10-1.png


Taarifa zinadokeza kwamba Tayari Mwamba Kabisa Freeman Mbowe kishafika Bukoba Mjini .

Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi .
========

Rasmi : Mwamba ameingia Bukoba na kupokelewa kwa Bashasha kubwa mno ! Hakika huyu mtu ana karama ya kupendwa !

Screenshot_2024-04-21-22-32-15-1.png
Screenshot_2024-04-21-22-34-26-1.png
Screenshot_2024-04-21-22-34-57-1.png
Screenshot_2024-04-21-22-34-01-1.png
Screenshot_2024-04-21-22-34-12-1.png
 
Pinga ugumu wa maisha kwa kufanya kazi siyo kwa kugawana ruzuku za covid 19 ili kurahisisha maisha.
 
Taarifa ikufikie popote ulipo , kwamba ile wiki ya Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA yatakayofanyika Dunia nzima , kupinga Ugumu wa Maisha Nchini Tanzania pamoja na Sheria mbovu na Duni sana za Uchaguzi zilizosainiwa na Rais Samia , huku akijua kwamba Sheria hizo ni Hatarishi na zinapingwa kila Mahali , hata hivyo akawadharau Wanachi ( Madaraka ya kulevya ) Yamekamilika .

Baadhi ya Wadau na viongozi wa Chadema Tayari wameanza kusogea kwenye Eneo la Tukio , akiwemo Mwakilishi wa Watanzania Mdude Nyagali

View attachment 2970157

Taarifa zinadokeza kwamba Tayari Mwamba Kabisa Freeman Mbowe kishafika Bukoba Mjini .

Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi .
Ahsante kwa taarifa mshikamano jogging
 
Taarifa ikufikie popote ulipo , kwamba ile wiki ya Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA yatakayofanyika Dunia nzima , kupinga Ugumu wa Maisha Nchini Tanzania pamoja na Sheria mbovu na Duni sana za Uchaguzi zilizosainiwa na Rais Samia , huku akijua kwamba Sheria hizo ni Hatarishi na zinapingwa kila Mahali , hata hivyo akawadharau Wanachi ( Madaraka ya kulevya ) Yamekamilika .

Baadhi ya Wadau na viongozi wa Chadema Tayari wameanza kusogea kwenye Eneo la Tukio , akiwemo Mwakilishi wa Watanzania Mdude Nyagali

View attachment 2970157

Taarifa zinadokeza kwamba Tayari Mwamba Kabisa Freeman Mbowe kishafika Bukoba Mjini .

Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi .
Wahaya msiniangushe jitokeze kwa wingi mtetee maslahi ya nchi yetu..katiba, Kikokotoo, sheria mbovu za uchaguzi etc etc
 
View attachment 2970409

Taarifa ikufikie popote ulipo , kwamba ile wiki ya Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA yatakayofanyika Dunia nzima , kupinga Ugumu wa Maisha Nchini Tanzania pamoja na Sheria mbovu na Duni sana za Uchaguzi zilizosainiwa na Rais Samia , huku akijua kwamba Sheria hizo ni Hatarishi na zinapingwa kila Mahali , hata hivyo akawadharau Wanachi ( Madaraka ya kulevya ) Yamekamilika .

Baadhi ya Wadau na viongozi wa Chadema Tayari wameanza kusogea kwenye Eneo la Tukio , akiwemo Mwakilishi wa Watanzania Mdude Nyagali

View attachment 2970157

Taarifa zinadokeza kwamba Tayari Mwamba Kabisa Freeman Mbowe kishafika Bukoba Mjini .

Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi .
hii kazi ni taaluma ndungu zango, lakini pia inafaa kufanyika kisayansi zaidi kama experiment maabara hupaswi kukosea kuanzia vifaa vinavyo takiwa.....

lakini hivi kanyaga twende bora liende, na eti front line ndio hizo first class brain kwenye picha, ati kama ndio miongoni mwa vifaa, dah 🤣
 
hii kazi ni taaluma ndungu zango, lakini pia inafaa kufanyika kisayansi zaidi kama experiment maabara hupaswi kukosea kuanzia vifaa vinavyo takiwa.....

lakini hivi kanyaga twende bora liende, na eti front line ndio hizo first class brain kwenye picha, ati kama ndio miongoni mwa vifaa, dah 🤣
Sasa unalia nini ?
 
nalia kwa uchungu sana, mistakes na blunders za wazi kabisa za kisayansi kwenye siasa mnazozifanya kwa makusudi kabisa in a political scene 🐒
Wewe na wenzio wa ccm , kwanini mlie kwa makosa ya Chadema ?
 
Wewe na wenzio wa ccm , kwanini mlie kwa makosa ya Chadema ?
kwasababu ni majirani ambao mistakes zao zinatia huruma mno, na kwakweli inasikitisha sana kuona hamna maono ya mbali, politically speaking 🐒
 
View attachment 2970409

Taarifa ikufikie popote ulipo , kwamba ile wiki ya Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA yatakayofanyika Dunia nzima , kupinga Ugumu wa Maisha Nchini Tanzania pamoja na Sheria mbovu na Duni sana za Uchaguzi zilizosainiwa na Rais Samia , huku akijua kwamba Sheria hizo ni Hatarishi na zinapingwa kila Mahali , hata hivyo akawadharau Wanachi ( Madaraka ya kulevya ) Yamekamilika .

Baadhi ya Wadau na viongozi wa Chadema Tayari wameanza kusogea kwenye Eneo la Tukio , akiwemo Mwakilishi wa Watanzania Mdude Nyagali

View attachment 2970157

Taarifa zinadokeza kwamba Tayari Mwamba Kabisa Freeman Mbowe kishafika Bukoba Mjini .

Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi .
========

Rasmi : Mwamba ameingia Bukoba na kupokelewa kwa Bashasha kubwa mno ! Hakika huyu mtu ana karama ya kupendwa !

View attachment 2970494View attachment 2970495View attachment 2970497View attachment 2970501View attachment 2970503
Chadema iendelee kuwa chini ya mbowe ili nyumbu wasije kustuka,jasusi mbowe anaifanya vizuri kazi ya dola kutuliza nyumbu.
 
Back
Top Bottom