DOKEZO Kagera: Mwanafunzi wa Form 2 abakwa na mwalimu aliyekuwa anamfundisha tuition

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kubakwa?! Hili neno hutumika pasipo mukhtadha wake, kubaka ni kutumia nguvu kulazimisha hilo tendo. Mpaka hilo tendo lifanyike katika urari wake ni shughuli pevu kubandua mapaja ya mwanamke aliyebana na hataki kupanua kwa ridhaa yake aingiliwe. Huwa kuna makubaliano, sema kwa kuwa kiitifaki mwalimu ni mlezi huwa inachukuliwa amebaka hata kama binti alikubali mwenyewe baada ya kutongozwa. Kubakwa kunaendana na vitisho vingi, vurugu na kelele za kuomba msaada kama mazingira yataruhusu kelele zipigwe. Kubaka ni dhana pana yenye maana nyingi
 
Huyo mwanafunzi alikuwa anafundishwa peke yake hiyo tuition? Na ni katika azingira gani huyo mwalimu aliyatumia kumbaka huyo mwanafunzi?

Naomba majibu tafadhali.
 
Comments za hii thread zinasikitisha na kufikirisha sana

Mnaambiwa mtoto wa watu kabakwa , comments nyingi watu wanazungumzia watoto wa kike kuharibiwa mapema

1. Je ni sahihi watoto wa kike kuharibiwa mapema ?
2.Je hakuna dada zenu au wenye watoto wa kike humu ndani ?
3.Ni jamii ya aina gani tunatengeneza kwa hizi fikra ninazo ziona kwenye comments zenu ?
4.Inatafakarisha sana - maana watu hawakemei wala hata kuonesha soni ya kusikitishwa

Wengi wetu ni kama vile ubakaji ni kitu cha kawaida kwakuwa tu watoto wa kike wanaanzishwa haya mambo ya ngono mapema ...... tukemee hivi vitu maana bado tunazaa au hata kama sio sisi ndugu zetu bado wanazaa jamani

Haya mambo sikieni kwa jirani tu asijekuwa dada ako au mtoto wako and God forbid siku hizi kuna watu wanabaka hadi wanaume so unaweza kua wewe pia

Chukua hatua na kemea vitendo vya ubakaji
 
Kagera again.....
 
Mwanafunzi wa kidato cha pili analia??
Mbona hawajasema alirudi na damu kua bikra imevunjwa???
Hapo kuna michongo tu
 
Huyo atakuwa alikuwa analiwa kila siku sasa siku hiyo jamaa hakumpa pesa. Kagera wana tabia chafu sana. Miaka 8 binti kashatatuliwa zamani. Wajinga sana.
Hayo ni yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…