Kagera na Geita hawana wabunge wala wakuu wa mikoa ?!

Sijasikia ahadi zozote kama ilivyo kwa wapinzani wa Simba , Dodoma jiji na Biashara United .
Au yanga sio timu kubwa ndio maana hamna ahadi zq mamilioni kwa vijana wao?!
Kwa utafiti wangu binafsi nimegundua hizo ahadi zinavuruga mpira sababu wanacheza kama wanataka kufa ili wapate ushindi.
Yaani madhambi yanakuwa mengi uwanjani.
 
Kagera walikuwa na mkuu was mkoa mwanajeshi ambaye msimu uliopita aliwazuiwa wanakagera kuishangilia Simba ila yanga walipoenda kucheza hakutoa kauli yoyote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zuio la kijinga kweli
 
Sio lazima uwe mbunge au mkuu wa mkoa hata wewe waweza toa ahadi tu
 
Wanajua Yanga ni mlima hauvukiki lakini simba wakikaza wanapindua meza

Yanga hata ukifanyaje hupindui lzm waangalie wapi kunakopindulika

[emoji13][emoji13][emoji13]
 
RC Adam Malima alipokuwa Mara aliipenda na kuipa sapoti sana Biashara United ya Mara. Na inafanya vizuri
 
Mambo mengine yaacheni kama yalivyo...
 
Uto wanatumia fedha kucheza mechi zote za Simba.

Kampeni hii ingefanikiwa zaidi iwapo zile timu zenye chembe za uyanga zingekuwa Ligi kuu.

Kwa bahati mbaya watoto wengi wa Yanga walishashuka Daraja na wengine bado hawajafanikiwa kufika ligi kuu mfano Toto Africa, Mbao, Singida UTD, Mawenzi Market/ DTB
 
Sijasikia ahadi zozote kama ilivyo kwa wapinzani wa Simba , Dodoma jiji na Biashara United .
Au yanga sio timu kubwa ndio maana hamna ahadi zq mamilioni kwa vijana wao?!
😂😂😂Ngoja waje kutoa povu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…