Kagera na Geita hawana wabunge wala wakuu wa mikoa ?!

Kagera na Geita hawana wabunge wala wakuu wa mikoa ?!

Sijasikia ahadi zozote kama ilivyo kwa wapinzani wa Simba , Dodoma jiji na Biashara United .
Au yanga sio timu kubwa ndio maana hamna ahadi zq mamilioni kwa vijana wao?!
Hizo pesa wanalipa UTO wanatafuta kiongozi maarefu ambaye ni Yanga lialia wanapitia hapo.
 
Uto wanatumia fedha kucheza mechi zote za Simba.

Kampeni hii ingefanikiwa zaidi iwapo zile timu zenye chembe za uyanga zingekuwa Ligi kuu.

Kwa bahati mbaya watoto wengi wa Yanga walishashuka Daraja na wengine bado hawajafanikiwa kufika ligi kuu mfano Toto Africa, Mbao, Singida UTD, Mawenzi Market/ DTB
African Sports ya Tanga
 
Sijasikia ahadi zozote kama ilivyo kwa wapinzani wa Simba , Dodoma jiji na Biashara United .
Au yanga sio timu kubwa ndio maana hamna ahadi zq mamilioni kwa vijana wao?!
Hao wanasiasa (RC na Mbunge) ni mashabiki wa Uto....ndio maana waliahidi hela ili Simba ifungwe.
 
RC Adam Malima alipokuwa Mara aliipenda na kuipa sapoti sana Biashara United ya Mara. Na inafanya vizuri
Najua kuwa RC wa Tanga ( zamani RC Mara ) ni mwana Simba SC tena lia lia kabisa ila Yeye hutoa Ahadi kwa Timu ya Mkoa wake Kuzifunga Yanga SC na Simba SC na siyo Yanga SC tu.pekee ambayo ni Hasimu wake. RC Malima ni Mwanamichezo hasa na siyo Mshamba na Mpuuzi kama RC wa sasa Mara ( Musoma ) Ally Hapi na Yule Mbunge Mnafiki Antony Mavunde wa Dodoma Mjini.
 
Back
Top Bottom