Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Hizo pesa wanalipa UTO wanatafuta kiongozi maarefu ambaye ni Yanga lialia wanapitia hapo.Sijasikia ahadi zozote kama ilivyo kwa wapinzani wa Simba , Dodoma jiji na Biashara United .
Au yanga sio timu kubwa ndio maana hamna ahadi zq mamilioni kwa vijana wao?!