Kagera na Geita hawana wabunge wala wakuu wa mikoa ?!

Sijasikia ahadi zozote kama ilivyo kwa wapinzani wa Simba , Dodoma jiji na Biashara United .
Au yanga sio timu kubwa ndio maana hamna ahadi zq mamilioni kwa vijana wao?!
Hizo pesa wanalipa UTO wanatafuta kiongozi maarefu ambaye ni Yanga lialia wanapitia hapo.
 
African Sports ya Tanga
 
Sijasikia ahadi zozote kama ilivyo kwa wapinzani wa Simba , Dodoma jiji na Biashara United .
Au yanga sio timu kubwa ndio maana hamna ahadi zq mamilioni kwa vijana wao?!
Hao wanasiasa (RC na Mbunge) ni mashabiki wa Uto....ndio maana waliahidi hela ili Simba ifungwe.
 
RC Adam Malima alipokuwa Mara aliipenda na kuipa sapoti sana Biashara United ya Mara. Na inafanya vizuri
Najua kuwa RC wa Tanga ( zamani RC Mara ) ni mwana Simba SC tena lia lia kabisa ila Yeye hutoa Ahadi kwa Timu ya Mkoa wake Kuzifunga Yanga SC na Simba SC na siyo Yanga SC tu.pekee ambayo ni Hasimu wake. RC Malima ni Mwanamichezo hasa na siyo Mshamba na Mpuuzi kama RC wa sasa Mara ( Musoma ) Ally Hapi na Yule Mbunge Mnafiki Antony Mavunde wa Dodoma Mjini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…