Kagera Sugar 0-1 Young Africa SC | Ligi Kuu Ya NBC | CCM Kirumba Jijini Mwanza

Huyo Gazwat kuna mechi moja aliishia kutoa updates dakika ya 11 SBS kuwatangulia[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu
 
Yap tena nafasi alizozipata Mayele ingekuwa ni Clement, zote angeokota mpira wavuni
Chukua magoli ya msimu huu ya John Bocco , changanya na ya Kibu Denis alafu katiakatia na magoli ya Okwa bado hawamfikii Clement Mzinza [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]....!!!!!
Hii nayo ni aina nyingine ya aibu
 
Wahuni wa TieFueFu inazikumbusha timu za Simba na Yanga zinazoshiriki mashindano ya "CUF" hakutakuwepo na kuhairishwa kwa mechi zao za ligi iwapo mechi inayofuata itakuwa imepishana kwa siku 2, siku ya 3 mechi ya ligi lazima ichezwe hata kama timu imecheza mechi nje ya Bongo.

Ndio maana timu zimeruhusiwa kusajili wachezaji 30, ukiona shida nenda nje ya nchi na wachezaji 18, wachezaji 12 wabakize Bongo .
 
Chukua magoli ya msimu huu ya John Bocco , changanya na ya Kibu Denis alafu katiakatia na magoli ya Okwa bado hawamfikii Clement Mzinza [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]....!!!!!
Hii nayo ni aina nyingine ya aibu
Dogo kaanza vizuri ila sio wa kumpa guarantee sana

Siku ya mwananchi na Makambo alikuja kwa ujio huo huo na kama kawaida yenu, amira kidogo tu lakini mkavimba nusu mpasuke

Leo hii hamtaki hata kuongelea kuhusu Makambo

Tulieni bado mnasafari ndefu ya kujitapa kwa kiwango cha huyo dogo, ukiniambia kiwango kwenye mechi ya leo alichokionesha siwezi kukubishia.
 
Na leo mbona hamjafunga mabao mengi? Si mlikua mnatushangaa jana yani Mmehangaika sana leo. Au ndo mnasingizia mvua mbona kagera waliposses mpira na mvua yote hyo
Uchovu wa safari ndefu bila ya kupata mapumziko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…