Kagera Sugar huku Ni kuikosea Simba heshima, ustaarabu ni muhimu

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Kwanza ieleweke Simba ndo timu pekee ilioiletea Tanzania sifa Africa msimu baada ya kufika robo fainali ya klabu bingwa Africa.
Jana Kagera sugar waliobahatika kuifunga Simba goli 2-1 pale kaitaba lakini Cha ajabu Ni kuandika bango la kashfa
Ikumbukwe Kagera Ni timu ndogo na wala sio wapinzani wa Simba na pia wala sio watani wa jadi.
Mnatakiwa kujua nafasi yenu sio kuandika mapango ya kuichafua Simba
Simba haikuenda FIFA Bali ililalamika kwa TFF baada ya Kagera kuchezesha mchezaji Mbaraka Yussuf
 
Mkuu mbona hapo hakuna kashfa. Kwani hapo kuna uongo gani, kwani so 2-1 kipindi so mlikata rufaa FIFA au Manara alikuwa anapiga porojo tu ili awaridhishe wadau wake.
Simba haikwenda FIFA kukata rufaa Bali ililalamika kwa TFF
 
Simba timu ya ovyo sana, timu ni Yanga tu
 

Unaposema Kagera sio wapinzani wa Simba unamaanisha kipi: 1) Kagera ni underdog kwa Simba? au

2) Simba ni underdog kwa Kagera?
 
Mpira hauchezwi chooni..Jana chama langu walicheza chini ya kiwango..and that's football.. Wasifungwe wao kina nani? Haya mengine yabaki tu kama ushabiki maandazi.
 
J4 wako na wanafunzi wa Alliance na wenyewe wanapigania kutokushuka drj
 
Ni mara chache kukuta timu za mikoani zimejizatiti kuziangamiza zile timu kubwa, hawa Kagera wanasifa ya giant killer walishasababisha watu wakang'oa viti, namba 1 alishawahi kuwapongeza kwa kutoboa tundu, walichofanya jmos ni kufumua tu mshono wa Lubumbashi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…