Naomba mnijuze hii mechi ya simba na kagera itachezwa leo huko shinyanga? Na itaonyeshwa live na azam??? Nijuzeni pls
Dakika ya 10; Kagera Sugar 0-0 Simba.
Dakika ya 10; Kagera Sugar 0-0 Simba.
Jioni kutakuwa na mvuaSababu ya mechi kuanza mapema ni nini???????
Jioni kutakuwa na mvua
Duh Makoye mkuu azam wanaonyesha hii gem
hivi kuna watu bado wanashabikia hizi timu hadi leo?
Okwi anasumbua sana huyu dogo
Mikia hamjambo, mbona hamuonekani jukwaani au mnasubiri mpate magoli ndipo muonekane?
Dakika 34: Kagera Sugar 0-0 Simba.
Tupo mkuu naona watu wamechoka na pombe za sikukuu, Azam wanaonyesha ila bundle linasua sua sana lol