Nikupe Ongera zako. Maana kwenye Ulimwengu wa KUBET tunaiita OVER 2.5....Simba taifa kubwa, na leo zikipungua sana ni tatu..take my words...
Hivi ni macho yangu tu au, hii pitch ya kaitaba ni ndogo sana.
haaa haaa ..... mungu amekosa nini tena mkuuumeshaisha. kagera sugar mungu anawaona
[emoji108] [emoji108]....Simba taifa kubwa, na leo zikipungua sana ni tatu..take my words...
Ashwerwee...iiiiiiiiKagera hoyeeeeee---------------- Omwana Simba ashwerwe
Hahaaaaaa mkuu au ndio unasema kijanja hapaKuna MTU kanichefua eti "Simba kapigwa katerero Kagera".
Hongera kwa kushinda magoli yasiyo pungua matatu....Simba taifa kubwa, na leo zikipungua sana ni tatu..take my words...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Utasikia yanga imehonga wachezaji wa kagera waikomalie simba.
Mnyama ni mnyama tu, lini akawa na akili?
Lile bao maskhara alifanya yeye ikawa kona mambo yalianzia hapo ila kifupi kawabania kweli[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kua bingwa nacho kpaji..
Simba wetu pinzan kawa paka leo..
Kaseja anawabania nahis wataomba wamsajili tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kagera hoyeeeeee---------------- Omwana Simba ashwerwe