bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Kweli kwa mbeleko hizi mpira wetu utaendelea?
Acheni bingwa apatikane kwa haki,na sio kwa mbeleko hizi.
Ina maana Kagera Sugar haruhusiwi kumfunga simba?Chezeni mpira acheni kutafuta njia za mkato kufikia ubingwa.
Alluta continua...