Kagera sugar wainuka, watinga TFF kutaka warejeshewe pointi zao walizopewa Simba

Kagera sugar wainuka, watinga TFF kutaka warejeshewe pointi zao walizopewa Simba

Historia inahukumu.

Mwaka 2006 mchezo dhidi ya kagera suger simba ilishinda goli moja lakini ilipokonywa points zote 3 baada ya kugundulika alichezeshwa Mussa Mgosi akiwa na kadi tatu za Njano na Yanga wapooooooo.

Mwaka 2007 mchezo dhidi ya Coastal union simba ilimchezesha Juma Nyoso ambaye alihamia unyamani akitokea Ashanti ambapo alipata kadi tatu hivyo simba ikala kwetu.. tukaporwa points 3 na yanga wapoooooo.

Mwaka 2017 Simba tunashinda rufaa dhidi ya mchezo na Kagera na tunapewa points tatu Yanga hawataki.
Hahahahahaaaa wanasahau kwamba Muosha huoshwa..


Umesahau kuorodhesha tukio ambalo TFF ilitengeneza Kanuni ya muda wa miezi kadhaa ili Ajibu aweze kuchagua Mechi alipo pata kadi 3 za njano....?

Ile kanuni ilitengenezwa siku chache kabla ya Mechi na ikafutwa miezi michache baadaye.
 
Habari inaenda hivi ....Yanga waliwapa Kagera Sugar milion 10....ili kagera sugar waibanie simba, Simba wakagundua wakapanda dau wakawapa Kagera million 15 ili washinde ...lakini Kagera wakawaambia simba yanga wamewapa kiasi fulani cha pesa ... Sasa basi ilikuua soo Kagera wakakubaliana na simba kuwa watamchezesha mchezaji mwenye kadi tatu za njano....harafu simba wakubali kufungwa ili kagera waue soo kwa yanga harafu simba waende TFF kudai kuwa Kagera wamemchezesha mchezaji mwenye kadi tatu za njano ndiyo ilivyokuwa kwahiyo Kagera within siku tatu kapiga milioni 25 bila kutoa jasho......sasa yanga inawauma kwa umafya waliofanyiwa na Simba baada ya kucheza picha la kihindi na Kagera....
@mwambile hizo stori umezipata kijiwe gani cha kahawa!!!?
 
Back
Top Bottom