Kagera sugar wainuka, watinga TFF kutaka warejeshewe pointi zao walizopewa Simba

Sijakataa kiongozi la msingi haki itendeke tena mbna siku hizi teknolojia imekua sana Kuna Azam tv wanacd zote z michezo husika kama vipi wafanye marejesho ya hiyo michezo waangalie kama kweli alikua na kadi 3.
Ni kutapa tapa tu kwa Yanga,hakuna lingine. Mpira una nidham yake.Kamwe TFF isikubali kupelekeshwa. Kanuni ziheshimiwe,kama Vilabu havina kumbukumbu za wachezaji wao, ni uzembe wao. Hata kama Ndanda,Toto,Stendi,Yanga au timu nyingine ingecheza na Kagera,na kuthibitika kuchezesha mtu mwenye kadi tatu,Kagera angepokonywa.
 
Hivi hivi, Real Madrid iliondolewa kombe la mfalme, kwa kumchezesha mchezaji asiyestahili!
Mihemko yoooote hii, ni kutoka kwa MAKADA wa Dar Young African!!
Kadi kati ya Africa lyon hawaijui[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]...... Yanga wanasema ni edited ila kadi hakupata yeye
 
Kadi wanayehesabu iitolewa sijui ligi ya nn ile ila jamaa alikuwa nazo mbili
Tatizo la sisi watu tusiopenda kusikiliza wengine wabasemaje ndo hili.... Mtu unakaa kijiweni tuu. Mbona shauri liko wazi kabisa, rudia kusikiliza uamzi uliowatia hatiani then relate na matukio ya video za nechi zote zilizo mtia hatiani.
 
utafanya jambo la maana sana kama ukipost hizo kanuni humu ili na sisi tuzijue au ni wapi tunaweza kuzipata hizo kanuni.
Sasa kama hata kanuni huna na huzijui unapata wapi ujasiri wa kujadili kitu usichokijua????? Tatizo vijiwe soka vinaharibu mpira wa nchi hiii
 
Duh hatari
 
utafanya jambo la maana sana kama ukipost hizo kanuni humu ili na sisi tuzijue au ni wapi tunaweza kuzipata hizo kanuni.
Kama hamjui kanuni mbona mapovu yanawatoka sana? Simba ni mnyama anayetisha sana
 
Nimesahau mechi ya Simba na Yanga ya raundi ya pili Simba walicheza wangap? Uwanjan na matokeo yalikuwaje tafadhali wanamichezo mnikumbushe [emoji12] [emoji12]
 
Dah kazi kweli
 
Wakati ile "kamati ya masaa 72" inatoa report yake, walipaswa pia kuonyesha bila chenga mechi zile ambazo mchezaji wa Kagera Sugar alipewa kadi ya Njano. Infact kabla ya maamuzi yao walipaswa pia kuita mwakilishi wa Kagera Sugar kusikiliza utetezi wao. Mpira wa Bongo bado sana.
 
Hivi kweli kamati inaweza kufika huko katika kipindi hiki cha digital eti wawabambikie Kesi ya kadi tatu Kagera inawezekana kweli. kama kweli wameweza kufanya hivyo inabidi TFF yote ianze upya.
 
Umeelemea upande mmoja .hata timu kubwa zisionewe,hao Azam wamepinga hiyo kadi ya njano ya mechi ya African lyon?
 
Sheria na kanuni lazima zifuate mkondo wake.punguza povu
 
Wewe unajua zaidi kuliko kamati ya SAA 72 kuliko TFF haya nenda mahakamani
 
Haya mambo sijawah kuyaskia ULAYA.
Hivi inawezekanaje mchezaji apangwe while ana matatizo ya kadi?Had tim inapokwa points?
Nani huwa anawajibika kwenye masuala ya recordings za mchezaji wa tim mwenye kado?Kocha?Mwenyekiti?Katibu?au MCHEZAJI MWENYEWE?
Mie sijawah kuskia hii whether UEFA au EPL,LA LIGA,SERIA A,LIGI 1
 
Historia inahukumu.

Mwaka 2006 mchezo dhidi ya kagera suger simba ilishinda goli moja lakini ilipokonywa points zote 3 baada ya kugundulika alichezeshwa Mussa Mgosi akiwa na kadi tatu za Njano na Yanga wapooooooo.

Mwaka 2007 mchezo dhidi ya Coastal union simba ilimchezesha Juma Nyoso ambaye alihamia unyamani akitokea Ashanti ambapo alipata kadi tatu hivyo simba ikala kwetu.. tukaporwa points 3 na yanga wapoooooo.

Mwaka 2017 Simba tunashinda rufaa dhidi ya mchezo na Kagera na tunapewa points tatu Yanga hawataki.
Hahahahahaaaa wanasahau kwamba Muosha huoshwa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…