Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
π§πππ‘π π¬π’π¨ | ππ₯ππ‘πππ¦ πππ₯πππ
Uongozi wa Kagera Sugar Football Club umefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Fransic Otieno Baraza.
Uongozi wa klabu unapenda kumshukuru Kocha Fransic kwa mchango wake mkubwa aliyouonesha ndani ya klabu kwa muda wote wa utumishi wake hadi leo tunafikia makubaliano haya ya kusitisha mkataba wake kwa maslahi mapana ya klabu yetu na pia uongozi unamtakia kila la heri katika majukumu yake mapya.
Kuelekea mchezo wetu wa mzunguko wa 10 dhidi ya KMC ambao tunatarajia kucheza siku ya Jumanne Tar 01, Novemba jijini Mwanza katika uwanja wa CCM Kirumba, kikosi chetu kitakuwa chini ya Kocha msaidizi Marwa Chacha.
WE WISH YOU ALL THE BEST COACH. πππ
#wanankurukumbi