Kagera vs Simba postponed

Kawaida,hata kipindi Covid 19 imeshika kasi mpaka ligi za michezo zilisimama Duniani.
 
Halafu tuliambiwa wachezaji wote wa Simba walichanjwa, nadhani sasa inabidi wapate booster. Nasikia baadhi ya nchi za Ulaya wanatafakari kudunga chanjo ya 4 (booster level 4).

JPM wazungu hawakumpenda maana hakutaka hayo machanjo akiamini (ndivyo ilivyo) baada ya muda mwili utajitengezea kinga sasa nina wasiwasi hizi chanjo huenda zikafanya miili yetu kuwa tegemezi wa booster, huenda tukageuzwa kuwa mateja wa booster.

Vv
 
Si ndio maana akafa akaponza na wenzie wote wale uliokuwa unawaona katika uapishaji mpaka yule mjeshi aliyekuwa anakaam nyuma yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…