Kagere Kashindikana.. Leo awalaza na viatu Ivory Coast.

Kagere Kashindikana.. Leo awalaza na viatu Ivory Coast.

sembo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
4,350
Reaction score
3,451
Leo timu bora kabisa katika ukanda huu wa CECAFA, Rwanda ilikua dimbani dhidi ya timu bora Africa yenye ukuta wa Berlin Ivory Coast katika mechi za kuwania kucheza AFCON. Matokeo ni timu ya Rwanda imelala 2 - 1.
Gumzo la leo hapa Amavubi ni huyu Medie Kagere. Huyu jamaa si tu kwamba ataulaza na viatu ukuta wa Berlin wa Ivory Coast, bali soka alilotandaza leo litabaki katika vitabu vya kumbukumbu kwa miaka mingi ijayo. MK14 leo kafunga goli pekee ambalo si pekee tu bali ni la mwaka. Pia Niyonzima aliyofanya leo ni kama juzi na jana.
Jamani Eeeh.. Huyu Kagere Kashindikana.
 
sasa kafanya nn kama timu imelala goli 2

Heroes are those who save their weak teams against strong teams and get away wth a win...
 
hahahahahahahaaaaa kumbe simulizi za mpira wa kipemba
kutufunga wantufunga lakini chenga kagere kanawala
 
hahahahahahahaaaaa kumbe simulizi za mpira wa kipemba
kutufunga wantufunga lakini chenga kagere kanawala
Mkuu inshu si kufungwa.. Umeona mpira aliotandaza MK14? Hapa Rwanda kwa sasa katika vijiwe vyote stori ni Kagere tu.. Wenyeji wangu wanasema hiii haijawahi tokea.
 
sasa kafanya nn kama timu imelala goli 2

Heroes are those who save their weak teams against strong teams and get away wth a win...
Timu ina wachezaji 11.. I wish ungekuwepo uwanjani leo, uone MK14 alichofanya.
 
Mkuu inshu si kufungwa.. Umeona mpira aliotandaza MK14? Hapa Rwanda kwa sasa katika vijiwe vyote stori ni Kagere tu.. Wenyeji wangu wanasema hiii haijawahi tokea.
sijaangalia mpira ila napaswa niwe na imani na maneno yako.
Mk14 amekinukisha vibaya sana
ok
 
Timu anayeshabikia Sembo nafasi na point ilizonazo Screenshot_2018-09-09-19-45-37.png
 
Leo timu bora kabisa katika ukanda huu wa CECAFA, Rwanda ilikua dimbani dhidi ya timu bora Africa yenye ukuta wa Berlin Ivory Coast katika mechi za kuwania kucheza AFCON. Matokeo ni timu ya Rwanda imelala 2 - 1.
Gumzo la leo hapa Amavubi ni huyu Medie Kagere. Huyu jamaa si tu kwamba ataulaza na viatu ukuta wa Berlin wa Ivory Coast, bali soka alilotandaza leo litabaki katika vitabu vya kumbukumbu kwa miaka mingi ijayo. MK14 leo kafunga goli pekee ambalo si pekee tu bali ni la mwaka. Pia Niyonzima aliyofanya leo ni kama juzi na jana.
Jamani Eeeh.. Huyu Kagere Kashindikana.

😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Leo timu bora kabisa katika ukanda huu wa CECAFA, Rwanda ilikua dimbani dhidi ya timu bora Africa yenye ukuta wa Berlin Ivory Coast katika mechi za kuwania kucheza AFCON. Matokeo ni timu ya Rwanda imelala 2 - 1.
Gumzo la leo hapa Amavubi ni huyu Medie Kagere. Huyu jamaa si tu kwamba ataulaza na viatu ukuta wa Berlin wa Ivory Coast, bali soka alilotandaza leo litabaki katika vitabu vya kumbukumbu kwa miaka mingi ijayo. MK14 leo kafunga goli pekee ambalo si pekee tu bali ni la mwaka. Pia Niyonzima aliyofanya leo ni kama juzi na jana.
Jamani Eeeh.. Huyu Kagere Kashindikana.
Na amewapatia point tatu watoto wa PAKA siyo?
 
Na amewapatia point tatu watoto wa PAKA siyo?
Amenikumbusha enzi zileeeeeee......za akina Juma Ngondaye....... "Timu kabambe ya RADIO TANZANIA, imefungwa kwa taabu na timu ya Kiwanda cha nguo cha Urafiki, magoli MATANO KWA BILA"!
 
Leo timu bora kabisa katika ukanda huu wa CECAFA, Rwanda ilikua dimbani dhidi ya timu bora Africa yenye ukuta wa Berlin Ivory Coast katika mechi za kuwania kucheza AFCON. Matokeo ni timu ya Rwanda imelala 2 - 1.
Gumzo la leo hapa Amavubi ni huyu Medie Kagere. Huyu jamaa si tu kwamba ataulaza na viatu ukuta wa Berlin wa Ivory Coast, bali soka alilotandaza leo litabaki katika vitabu vya kumbukumbu kwa miaka mingi ijayo. MK14 leo kafunga goli pekee ambalo si pekee tu bali ni la mwaka. Pia Niyonzima aliyofanya leo ni kama juzi na jana.
Jamani Eeeh.. Huyu Kagere Kashindikana.
Mpira ni magoli na wewe ni simba
 
Back
Top Bottom