kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Baada ya mada kuibuka kati ya mayele Na kagere Nani Bora kuliko mwenzake
Kwangu Mimi mayele ni Bora kuliko kagere kwenye vitu hivi
Mayele ana speed
Mayele ana Power
Mayele anajua ku dribble
Mayele anajua kutoa assist
Na Mara nyingi mayele anacheza kama Secord attack
Kwa Matic hii mayele
Sio centre fowerd halisi maana katika Machi unaweza kumuona akicheza kama Winger yaani maeneo yote ya mbele ana tawala yeye anapo kuwa ana shambulia
Ndo maana mechi kama ya marumo , Simba , polisi Tanzania mwaka (2021 )Na zingine nyingi mayele alikuwa ana toka Na mpira katikati ya uwanja Na kupanda nao mbele Na kwenda kufunga au ana tengeneza shambulizi ambalo litazaa Goli au kutoa assist
Je Haya yote kagere alikuwa anayafanya jibu ni hapana
Kagere ni finisher mzuri Basi tofauti Na hapo kagere ni kama Mimi
Ila inategemea timu Yako kama una viungo wazuri ambao wanajua kutoa assist nzuri Na kutengeneza nafasi vizuri Na fikiri kagere anakufaa zaidi
Maana kagere inje ya box ni Sawa Sawa na Mimi Hajui ku dribble ,Hana speed, Hana Power
Kwangu Mimi mayele ni Bora kuliko kagere kwenye vitu hivi
Mayele ana speed
Mayele ana Power
Mayele anajua ku dribble
Mayele anajua kutoa assist
Na Mara nyingi mayele anacheza kama Secord attack
Kwa Matic hii mayele
Sio centre fowerd halisi maana katika Machi unaweza kumuona akicheza kama Winger yaani maeneo yote ya mbele ana tawala yeye anapo kuwa ana shambulia
Ndo maana mechi kama ya marumo , Simba , polisi Tanzania mwaka (2021 )Na zingine nyingi mayele alikuwa ana toka Na mpira katikati ya uwanja Na kupanda nao mbele Na kwenda kufunga au ana tengeneza shambulizi ambalo litazaa Goli au kutoa assist
Je Haya yote kagere alikuwa anayafanya jibu ni hapana
Kagere ni finisher mzuri Basi tofauti Na hapo kagere ni kama Mimi
Ila inategemea timu Yako kama una viungo wazuri ambao wanajua kutoa assist nzuri Na kutengeneza nafasi vizuri Na fikiri kagere anakufaa zaidi
Maana kagere inje ya box ni Sawa Sawa na Mimi Hajui ku dribble ,Hana speed, Hana Power