Kagere vs Mayele: Yupi ni bora zaidi?

Kagere vs Mayele: Yupi ni bora zaidi?

Kizoda

Senior Member
Joined
Mar 5, 2022
Posts
130
Reaction score
302
Hivi kati ya mayele na kagere nani ndo strike atari saana ?

FB_IMG_1649425794396.jpg
 
Hivi kati ya mayele na kagere nani ndo strike atari saana ?
Mayele hafanyiwi rotation, kila kikosi ni yeye yupo pale mbele kati, ni kama tu Reliants Lusajo na George Mpole kwenye vikosi vyao vya Namungo na Geita Gold respectively, so wana chance ya kufunga zaidi. Kagere anafanyiwa rotation kutokana na majukumu mengine kama ya CAF CC, so pamoja na ubora wake, chances za kuweka kambani zinapungua. Mechi ya Simba vs Coastal Union aliingia muda mfupi akaweka kambani mawili, moja refa alilikataa kwa sababu ambazo hadi sasa watu wengi hawajazijua
 
Kagere ni Bora sana tu kuliko mayele kwa sababu kagere kaprove kuwa mfungaji bora wa ligi mara mbili na mwaka huu bado anafukuzia.. mayele hajawahi fanya hivyo
 
Mayele hafanyiwi rotation, kila kikosi ni yeye yupo pale mbele kati, ni kama tu Reliants Lusajo na George Mpole kwenye vikosi vyao vya Namungo na Geita Gold respectively, so wana chance ya kufunga zaidi. Kagere anafanyiwa rotation kutokana na majukumu mengine kama ya CAF CC, so pamoja na ubora wake, chances za kuweka kambani zinapungua. Mechi ya Simba vs Coastal Union aliingia muda mfupi akaweka kambani mawili, moja refa alilikataa kwa sababu ambazo hadi sasa watu wengi hawajazijua
Umejibu kishabiki sana na kupindisha uhalisia. Kagere sio kwamba anafanyiwa rotation kwaajili ya majukumu mengine bali mpaka sasa Pablo hana mfungaji wa maana na ndio maana anamuweka Kagere kwenye kikosi cha kwanza halafu anazingua mashabiki nao wanapata moto wanalalamika kuwa bora hata Mugalu kuliko Kagere.
Mechi zingine anaanzishwa Mugalu anafanya ovyo watu hao wanalalamika bora Kagere. Akiwekwa Boko hivyi hivyo, Kifupi Pablo hana straika wa maana ndio maana. Yaani rotation afanyiwe Kagere peke yake kwa mapungufu yapi au kwa lipi? Inonga, Tshabalala, Onyangi, Sakho, Kapombe, Kanoute, mbona wameshiriki kila aina ya jukumu?
 
Umejibu kishabiki sana na kupindisha uhalisia. Kagere sio kwamba anafanyiwa rotation kwaajili ya majukumu mengine bali mpaka sasa Pablo hana mfungaji wa maana na ndio maana anamuweka Kagere kwenye kikosi cha kwanza halafu anazingua mashabiki nao wanapata moto wanalalamika kuwa bora hata Mugalu kuliko Kagere.
Mechi zingine anaanzishwa Mugalu anafanya ovyo watu hao wanalalamika bora Kagere. Akiwekwa Boko hivyi hivyo. Yaani rotation afanyiwe Kagere peke yake kwa mapungufu yapi au kwa lipi? Inonga, Tshabalala, Onyangi, Sakho, Kapombe, Kanoute, mbona wameshiriki kila aina ya jukumu?
Kwa hiyo unatuaminisha hii critize yako haiko kishabiki?
 
Umejibu kishabiki sana na kupindisha uhalisia. Kagere sio kwamba anafanyiwa rotation kwaajili ya majukumu mengine bali mpaka sasa Pablo hana mfungaji wa maana na ndio maana anamuweka Kagere kwenye kikosi cha kwanza halafu anazingua mashabiki nao wanapata moto wanalalamika kuwa bora hata Mugalu kuliko Kagere.
Mechi zingine anaanzishwa Mugalu anafanya ovyo watu hao wanalalamika bora Kagere. Akiwekwa Boko hivyi hivyo. Yaani rotation afanyiwe Kagere peke yake kwa mapungufu yapi au kwa lipi? Inonga, Tshabalala, Onyangi, Sakho, Kapombe, Kanoute, mbona wameshiriki kila aina ya jukumu?
Wewe ndo umeongea kishabiki, wela odadi ya match/ minutes walizocheza
NB: Nilikuwa sijui kama mayele kampita kagere magoli machache hivo
 
Wewe ndo umeongea kishabiki, wela odadi ya match/ minutes walizocheza
NB: Nilikuwa sijui kama mayele kampita kagere magoli machache hivo
Soma uelewe kwanza nini kilichofanya Kagere asiwe kwenye kikosi cha mara kwa mara cha kikosi cha kwanza kama sio kushuka kiwango? Kuhusu kupitwa magoli machache ni sawa ni machache lakini unaweza kuniambia katika magoli 7 ya kagere kuna penati ngapi wakati magoli yote ya Mayele hakuna penati hata moja
 
Soma uelewe kwanza nini kilichofanya Kagere asiwe kwenye kikosi cha mara kwa mara cha kikosi cha kwanza kama sio kushuka kiwango? Kuhusu kupitwa magoli machache ni sawa ni machache lakini unaweza kuniambia katika magoli 7 ya kagere kuna penati ngapi wakati magoli yote ya Mayele hakuna penati hata moja
🚮 trash/ taka taka
 
Mayele hafanyiwi rotation, kila kikosi ni yeye yupo pale mbele kati, ni kama tu Reliants Lusajo na George Mpole kwenye vikosi vyao vya Namungo na Geita Gold respectively, so wana chance ya kufunga zaidi. Kagere anafanyiwa rotation kutokana na majukumu mengine kama ya CAF CC, so pamoja na ubora wake, chances za kuweka kambani zinapungua. Mechi ya Simba vs Coastal Union aliingia muda mfupi akaweka kambani mawili, moja refa alilikataa kwa sababu ambazo hadi sasa watu wengi hawajazijua
Ishu sio kufunga tu, timu inapobanwa unaweza kuamua matokeo ww kama mshambuliaji??
MAYELE yuko mbali mno, na ni ujinga kumlinganisha na KAGERE.
Hata Kagere awe kwenye umri wa miaka 25 bado tumemuona sio hatari anapokuwa na mpira na mbele ana beki 2.
 
Mayele hafanyiwi rotation, kila kikosi ni yeye yupo pale mbele kati, ni kama tu Reliants Lusajo na George Mpole kwenye vikosi vyao vya Namungo na Geita Gold respectively, so wana chance ya kufunga zaidi. Kagere anafanyiwa rotation kutokana na majukumu mengine kama ya CAF CC, so pamoja na ubora wake, chances za kuweka kambani zinapungua. Mechi ya Simba vs Coastal Union aliingia muda mfupi akaweka kambani mawili, moja refa alilikataa kwa sababu ambazo hadi sasa watu wengi hawajazijua
Teh teh sasa mchezaji anaepata nafasi kwenye first eleven na anaekaa benchi yupi mwenye kiwango cha juu?
 
Kagere ni Bora sana tu kuliko mayele kwa sababu kagere kaprove kuwa mfungaji bora wa ligi mara mbili na mwaka huu bado anafukuzia.. mayele hajawahi fanya hivyo
Hivi hizi akili mnazitoaga wapi,sasa Mayele approve vipi misimu miwili iliyopita ambayo hakuwepo?
 
Unataka utoe tuzo?Anyway mpe hyo tuzo uchwara garasa lako KAGERE
 
Back
Top Bottom