Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,513
Any way, haya tuyaache, hata Ulaya na America zilijengwa kwa dhulma, damu na gharama za uhai wa mamilioni ya binaadamu. Acha Mheshimiwa aijenge nchi kwanza.Na ukitaka kujua yule Msiba wa taifa yupo smart, mpelekee details zote za Rost tamu uone kama 'atamtetea' Mkulu.