JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Gari inagonga fundi anasema ni shock up. Anapewa hela ya kununua shock up zingine.
Kinyume chake anaweka hizo rubber kwenye Coil.
Kifuatacho badala ya Impact kubwa kuishia kwenye Coil na shock absorbers. Impact kubwa inaishia kwenye bodi.