Kah! Leo ni marayangu yakwanza kabisa

Superboy

Member
Joined
Sep 17, 2013
Posts
45
Reaction score
6
Hi mabest leo mimi ni mgeni humu, nimechokoa watu humu nanimepata mitusi yakutosha nimetulia tu hapa nashushia na grandmalta.. Tuko pamoja
 
Hili sio janvi la kuingia kichwa kichwa!!
 
Karibu sana ila sheria ni kama Tai-iwe mbele kwa kila jukwaa,usilete lugha za kwenye Facebook
"Vox popoli vox dei"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…