exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,263
- 3,897
Haijawai kutokea kwa maeneo yetu huku
Msanii diamond platnumz alipotinga viwanja vya masumbwe ilikua nishida, hata kupumua sababu vumbi lililokuepo pale na ukichanganya na nyomi ya watu waliokuepo,
tunakuombea upige kazi kuiwakilisha nchi yetu kwani mtaji wako ni shabiki,
Ila mimi sio shabiki wa mziki wa dizaini hii ukiendelea na ubunifu katka mziki wako utafika mbali.
Imetumwa na Exalioth
Natumia jamiiforum
Msanii diamond platnumz alipotinga viwanja vya masumbwe ilikua nishida, hata kupumua sababu vumbi lililokuepo pale na ukichanganya na nyomi ya watu waliokuepo,
tunakuombea upige kazi kuiwakilisha nchi yetu kwani mtaji wako ni shabiki,
Ila mimi sio shabiki wa mziki wa dizaini hii ukiendelea na ubunifu katka mziki wako utafika mbali.
Imetumwa na Exalioth
Natumia jamiiforum