Mama huu sio muda wa kula chakula labda kama ni daku!Wasile?
Kula hakuna muda. Ni mawazo yako tu. Wewe ukilala wenzako wanakula.Mama huu sio muda wa kula chakula labda kama ni daku!
we si muislamu, tafuta , shusha vitu wenzio wanufaike na surat ya Mtume SAWSi nimekwambia hata unachokisoma hukielewi. Hiyo "surat" ya kitabu gani?
Afu Kuna mtu anasema vyuma vimekaza,u can't be xriacDuhh....
Ila Wa TZ Tunapenda mzikiii.
show hili lipo konki
Hivi vyuma vimetiwa oil.Afu Kuna mtu anasema vyuma vimekaza,u can't be xriac
Huo ni mziki wa vijana btw napenda mziki lakini xjawah penda live show na cwez kwenda
So interestingSo what?
Sometimes ukijua unafanya nn na ukiacha kufanya kazi kwa mazoea,lazima utafanikiwa makampuni yanapenda kudhamini msanii anayeijua kujibrand na kujipromoti kwani wanajua wakidhamini show yake,yule msanii ataibeba na kuitangaza bidhaa yao na katika hili Mondi kafanikiwa na kampuni zina muamini show moja ina wadhamini watano wawili kati yao ni Pepsi na Precision air,hapo lazima msanii show yake itakuwa nzuri.
Ingawa watu mnamwita Diamond anapenda show off,hizo show off Ndizo zimempa wadhamini wakubwa kila siku Kuanzia Vodacom,Belaire,Cocacola,DSTV na leo Pepsi zote hizo ni brand kubwa Africa na duniani kwa ujumla.
Anashow Kenya tar 8,ana show tatu Madagascar miji mitatu tofauti,ana show tatu One Africa ktk miji mitatu (London,Dubai,New York) na baada ya miezi michache ana show Malawi.Show za nje zimeanza kukata!?....
Vaa miwani usione gereSo what ?
Tufanyeje sisi sasa
So what?
IdiotSo what nini?hizo ni kauli za kishoga.
Haters watakuuliza "ati wewe ndio mama tifa"Anashow Kenya tar 8,ana show tatu Madagascar miji mitatu tofauti,ana show tatu One Africa ktk miji mitatu (London,Dubai,New York) na baada ya miezi michache ana show Malawi.
Mkumbushe tu pia Ana show Germany mwezi DecemberAnashow Kenya tar 8,ana show tatu Madagascar miji mitatu tofauti,ana show tatu One Africa ktk miji mitatu (London,Dubai,New York) na baada ya miezi michache ana show Malawi.