Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Ukweli mtupu!Kama Chadema imezikwa mngekuwa mnatumia bunduki na mabomu kupambana nayo? CCM bila ya mbeleko ya vyombo vya dola ni kama TLP tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli mtupu!Kama Chadema imezikwa mngekuwa mnatumia bunduki na mabomu kupambana nayo? CCM bila ya mbeleko ya vyombo vya dola ni kama TLP tu.
Chemsha genge la wahuniMungu Ibariki CHADEMA
Una maana gani?Chemsha genge la wahuni
Majigambo weka pembeni.Kama bado unafikiria kwamba kuna Chama kitapita bila kupingwa basi unapaswa kutafakari Upya
Angalia Mkutano Mkuu wa kura za maoni wa Kijiji wa Chadema huko Kahama ili kumpata Mgombea wao Serikali za Mitaa
View attachment 3134782View attachment 3134783View attachment 3134784
TUIJENGE CHADEMA WAPWENDWA, TUSIYUMBISHWE NA CCM NA VIBARAKA WAKE1 CCM NI WEPESI KAMA UNYIY UKIONDOA POLISIKama bado unafikiria kwamba kuna Chama kitapita bila kupingwa basi unapaswa kutafakari Upya
Angalia Mkutano Mkuu wa kura za maoni wa Kijiji wa Chadema huko Kahama ili kumpata Mgombea wao Serikali za Mitaa
View attachment 3134782View attachment 3134783View attachment 3134784