Mm pia nipo kahama..Nshomile wa Muleba tuwasiliane
Upo sehemu Gani ?Wasukuma walinigwaya pamoja na kunikaribisha kwa ukarimu mkubwa[emoji1545].. Nadhani tatizo lilikuwa ni lile fuko la tunguli nililo share picha zake kwenye ile post [emoji1787]
Fuko lilifika salama Shinyanga Gamboshi kilingeni kabisa na nililala huko[emoji2827].. Leo mida ya mchana nikaanza mwendo na sasa nimetuamo mjini penu.. Naomba mnikaribishe[emoji1545]
...haachi asili akiacha asili huyo hana akili, hii methali nimesahau neno la mwanzoAmeshakua kinyonga
Mara aseme ameacha mara anarudi tena kilingeni
Karibu mkuu hapa the Magic 101Wasukuma walinigwaya pamoja na kunikaribisha kwa ukarimu mkubwa[emoji1545].. Nadhani tatizo lilikuwa ni lile fuko la tunguli nililo share picha zake kwenye ile post [emoji1787]
Fuko lilifika salama Shinyanga Gamboshi kilingeni kabisa na nililala huko[emoji2827].. Leo mida ya mchana nikaanza mwendo na sasa nimetuamo mjini penu.. Naomba mnikaribishe[emoji1545]
Upo powa ndugu...Mimi sijaelewa alie elewa anieleweshe